PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Rais Samia Suluhu huu si wakati wa kukaa kimya, hutubia taifa ili nchi na watu wake wapate mwanga mpya, kuna mambo mengi yanachanganya wananchi, mfano
Ukihutubia taifa, haijalishi utasema Nini ila utabadilisha upepo na kuleta hoja mpya kwa wananchi.
Isitumike nguvu kunyamazisha Uhuru wa maoni ya watanzania haijalishi ni ccm au upinzani
"Hoja haipigwi rungu" jmk
- Suala tozo
- Chanjo
- Democracy
- Ugaidi
Ukihutubia taifa, haijalishi utasema Nini ila utabadilisha upepo na kuleta hoja mpya kwa wananchi.
Isitumike nguvu kunyamazisha Uhuru wa maoni ya watanzania haijalishi ni ccm au upinzani
"Hoja haipigwi rungu" jmk