Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Mwaka 2015 niliandika maoni yangu hapa JamiiForums kumshauri Hayati JPM mara baada ya kuapishwa kushika nafasi ya Urais wa Tanzania.
Pamoja na kelele zinazopigwa hapa na pale lakini haiondoi ukweli kwamba wewe ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa majenzi ya Ulinzi na Usalama.
Umeanza kwa hatua nzuri sana tena zinazoacha bumbuwazi kwa wanaotarajia kuwa hautaweza kuitendea haki nafasi ulitoapishwa kuitumikia.
Nina machache mno ya kukushauri ingawa yanaweza kuonekana ya kijinga lakini unaweza kuyaangalia kwa jicho tofauti zaidi.
1. WASHAURI
Kuwa muangalifu na washauri wako gawa wa upande wa Siasa na Jamii. Hawa mara nyingi hupenda kujibadilisha na kuwa kingmakers.
Utaletewa majina ya uteuzi kwa nafasi mbalimbali, unaweza kuletewa na vertings zilizosheheni mbwembwe nyingi na produces facts lakini kumbe behind ya scene ni kukupelekea ufanye political blunders.
Wateule wa sasa ambao tayari wameshaonesha makandokando waweke pembeni weka watu wanaoendana na falsafa yako ya kuifungua nchi. Hawa waliopo unawajua na walitumika sana kuibana na kuifunga nchi ili kufanikisha malengo waliyopangiwa
2. UCHUMI
Vitambulisho vya Wajasiriamali ni incubator ya uchumi kwa wafanyabiashara wa chini waweze kupanda viwango. Ukiviboresha na kuviwekea details zinazompa uhalali anatekikata kuaminika kwenye microfinances irasaidia sana mzunguko wa uchumi kwa madaraja yote.
Iangalie Tanzania Chambers of Commerce kwa uangalifu sana. Ujiulize kwa nini uwiano wa uwekezaji wa Watanzania nje na wageni wanaowekeza kwetu hauko fair?
A. Fair Trade
Tanzania iliridhia mkataba wa Fair Trade kupitia WTO lakini hakuna juhudi za watendaji wako kuwaunganisha Watanzania kwenye soko hili kubwa ulimwenguni ambalo limeiinua sana Asia. Biadhaa nyingi za majirani zetu Wakenya ziinazopelekwa Fair Trade zinatoka hapa kwetu na wanaziwekea brand ya Kenya hivyo tunarudi kwenye story ya Tanzanite..
B. AGOA
Hii opportunity imetwaliwa na Wachina kupitia viwanda vya uwekezaji Ethiopia, Kenya na Zambia. Nafasi ingalipo na tunaweza kuliingia kwa kasi kubwa
C. REGIONAL TRADE
Hapa uangalie korido za SADC, EAC, EPA na mengineyo. Tunapofungua fursa kwa wawekezaji kutoka nje, je uwiano wa sisi kuwekeza huko kwao upoje? Je vigezo ni parallel au competetive?
D. TRADE INTEL
Hatuwezi kama Tanzania kufika mbele bila kuwa na ukusanyani na uchakataji wa taarifa mbalimbali zinazoweza kusaidia watu wetu kuwekeza maeneo ya nje yenye fursa.
AEGIS ni shirika binafsi lakini lina mkono wa serikali ya Uingereza ambalo kazi yao kubwa ni kuangalia, kulinda na kutafiti kwa maslahi ya wawekezaji wa Uingereza na baadhi ya sehemu ya Ulaya.
CIA inafanya ujasusi wenye maslahi ya kiuchumi kwa nchi ya Marekani.
Sisi siyo kisiwa,ni muhimu tuwe na kurugenzi au taasisi inayojitegemea inatofanya ujasusi wenye maslahi ya Tanzania kibiashara
3. ULINZI NA USALAMA
Wewe na mtangulizi wako mliiweka nchi yetu salama kabisa. Lakini haiondoi ukweli kwamba bado zipo chokochoko hususani jirani na mpaka wa Msumbiji, mpaka wa magharibi na kaskazini.
Ni vizuri ukaiangalia TAMISEMI hasa nafasi za viongozi wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa wapewe uwezo zaidi kwenye eneo hilo kusaidia kuiweka salama chini yetu.
5. SIASA
Mheshimiwa Rais, ruhusu vyama vya siasa vifanye shughuli zao. Tekeleza ahadi yako ya serikali mseto kusaidia kuiponya nchi.
Kuwa muangalifu sana na washauri wa Siasa.
Pamoja na kelele zinazopigwa hapa na pale lakini haiondoi ukweli kwamba wewe ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa majenzi ya Ulinzi na Usalama.
Umeanza kwa hatua nzuri sana tena zinazoacha bumbuwazi kwa wanaotarajia kuwa hautaweza kuitendea haki nafasi ulitoapishwa kuitumikia.
Nina machache mno ya kukushauri ingawa yanaweza kuonekana ya kijinga lakini unaweza kuyaangalia kwa jicho tofauti zaidi.
1. WASHAURI
Kuwa muangalifu na washauri wako gawa wa upande wa Siasa na Jamii. Hawa mara nyingi hupenda kujibadilisha na kuwa kingmakers.
Utaletewa majina ya uteuzi kwa nafasi mbalimbali, unaweza kuletewa na vertings zilizosheheni mbwembwe nyingi na produces facts lakini kumbe behind ya scene ni kukupelekea ufanye political blunders.
Wateule wa sasa ambao tayari wameshaonesha makandokando waweke pembeni weka watu wanaoendana na falsafa yako ya kuifungua nchi. Hawa waliopo unawajua na walitumika sana kuibana na kuifunga nchi ili kufanikisha malengo waliyopangiwa
2. UCHUMI
Vitambulisho vya Wajasiriamali ni incubator ya uchumi kwa wafanyabiashara wa chini waweze kupanda viwango. Ukiviboresha na kuviwekea details zinazompa uhalali anatekikata kuaminika kwenye microfinances irasaidia sana mzunguko wa uchumi kwa madaraja yote.
Iangalie Tanzania Chambers of Commerce kwa uangalifu sana. Ujiulize kwa nini uwiano wa uwekezaji wa Watanzania nje na wageni wanaowekeza kwetu hauko fair?
A. Fair Trade
Tanzania iliridhia mkataba wa Fair Trade kupitia WTO lakini hakuna juhudi za watendaji wako kuwaunganisha Watanzania kwenye soko hili kubwa ulimwenguni ambalo limeiinua sana Asia. Biadhaa nyingi za majirani zetu Wakenya ziinazopelekwa Fair Trade zinatoka hapa kwetu na wanaziwekea brand ya Kenya hivyo tunarudi kwenye story ya Tanzanite..
B. AGOA
Hii opportunity imetwaliwa na Wachina kupitia viwanda vya uwekezaji Ethiopia, Kenya na Zambia. Nafasi ingalipo na tunaweza kuliingia kwa kasi kubwa
C. REGIONAL TRADE
Hapa uangalie korido za SADC, EAC, EPA na mengineyo. Tunapofungua fursa kwa wawekezaji kutoka nje, je uwiano wa sisi kuwekeza huko kwao upoje? Je vigezo ni parallel au competetive?
D. TRADE INTEL
Hatuwezi kama Tanzania kufika mbele bila kuwa na ukusanyani na uchakataji wa taarifa mbalimbali zinazoweza kusaidia watu wetu kuwekeza maeneo ya nje yenye fursa.
AEGIS ni shirika binafsi lakini lina mkono wa serikali ya Uingereza ambalo kazi yao kubwa ni kuangalia, kulinda na kutafiti kwa maslahi ya wawekezaji wa Uingereza na baadhi ya sehemu ya Ulaya.
CIA inafanya ujasusi wenye maslahi ya kiuchumi kwa nchi ya Marekani.
Sisi siyo kisiwa,ni muhimu tuwe na kurugenzi au taasisi inayojitegemea inatofanya ujasusi wenye maslahi ya Tanzania kibiashara
3. ULINZI NA USALAMA
Wewe na mtangulizi wako mliiweka nchi yetu salama kabisa. Lakini haiondoi ukweli kwamba bado zipo chokochoko hususani jirani na mpaka wa Msumbiji, mpaka wa magharibi na kaskazini.
Ni vizuri ukaiangalia TAMISEMI hasa nafasi za viongozi wa Vijiji, Vitongoji na Mitaa wapewe uwezo zaidi kwenye eneo hilo kusaidia kuiweka salama chini yetu.
5. SIASA
Mheshimiwa Rais, ruhusu vyama vya siasa vifanye shughuli zao. Tekeleza ahadi yako ya serikali mseto kusaidia kuiponya nchi.
Kuwa muangalifu sana na washauri wa Siasa.