Rais Samia Suluhu umeanza kuwa Dikteta mapema kuliko hayati John Pombe Magufuli


How unamuita Rais wa inchi Mpumbavu?
Ukikamatwa hapo unasema serikali ya kidhalim
 
Ni nadra sana sana kukutana na mwislamu Mzazibari tena mwanamke afu akawa na roho mbaya hivi...wacha tuone.
 
Upo sahihi kwa 100% mikutano ya siasa ifanyike uchaguzi hadi uchaguzi

Kwanza hao CHADEMA hawafikii hata 5% ya watanzania sasa kwa nini watusumbue sisi ambao hatuna vyama vya siasa

Andaeni Sera nzuri uchaguzi ukifika tukupigieni kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine nchi huwa haiendeshwi kwa utashi wa Rais pekee, ndio maana huwa wanasema Urais au Rais ni taasisi...
 
Si mlimuunga mkono wale waliompinga mkawapa majina Mara Sukuma gang, sasa yako wapi!
 
ningekuwa mama ningebadili hicho kipengele cha kufanya mikutano ya hdhala badala yake;;siasa zifanyike baada ya miaka 5
 
MSHAMBA MKUBWA WEWE, TRUMP ANAPIGA SIASA KAMA KAWA NA ATA MAJUZI ALIKUWA AKIFANYA MKUTANO, MSHAMBA WEWE NA UDC, UDAS HAUUPATI NG'OOOO
 
MSHAMBA MKUBWA WEWE, TRUMP ANAPIGA SIASA KAMA KAWA NA ATA MAJUZI ALIKUWA AKIFANYA MKUTANO, MSHAMBA WEWE NA UDC, UDAS HAUUPATI NG'OOOO
MALAYA MKUBWA wewe mbona mmepeewa Kesi ya UGAIDI? na jua kabisa Mbowe wala CHADEMA hawatakaa washike Ubunge au Ukuu wa Wilaya kapigeni DISCO lichama limekaa KIKABILA tu
safari hii sijui nani atakupa mimba wakati mumeo yupo Jela
 
kitawleweka tu,naona waimba mapambio wa bavicha ndo akili zimeanza kuwaludia taratibu,na hili ndo tatizo la bavicha ,wagumu kuelewa halafu wepesi kusahau. ngoja niwakumbushe urais ni taasisi.mlizani yeye kuwa rais Basi ndo mtelemuko wa churuzia utopolo.she is too tough!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…