JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
Inasikitisha sana kuona Bunge la Tanzania likipitisha Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma kukatwa asilimia 10 ya mishahara yao kuchangia mifuko hiyo.
Kitendo hicho kitaleta athari kubwa sana kwa watumishi wa umma ambao wanachekelea kupandishwa mishahara na mama wakati fedha iliyoongezwa itakatwa kwa upande wa pili.
MADHARA YA SHERIA HIYO:
1. Madaraja ya mishahara waliyopewa watumishi na Dr. Samia yatakuwa sawa na bure.
2. Watumishi watajenga chuki na hasira dhidi ya serikali yao.
3. Fedha hiyo watakayokatwa hkun namna wataipata isipokuwa inapunguza mishahar yao na kuongeza ukali wa maish kwa watumishi wa umma.
4. Ikumbukwe mishahara haijaongezwa hivyo kwa watumishi na familia nyingi zikiwemo zile zinazotunzwa na watumishi hao itakuwa ni msiba mkubwa sana.
5. Morari ya kufanya kazi na kujituma kwa watumishi itashuka sana.
6. Kura za mama Samia zitaathirika sana kwa sababu tayari kwa watumishi kura zao zitakuwa rehani.
MWISHO, MAMA YETU KIPENZI, DR. RAIS NA AMIRI JESHI MKUU TAFADHALI USISAINI HYO MAREKEBISHO, YAFUTE UTARATIBU WA ZAMANI NDO UBAKI VILEVILE.
Kama ni hoja ya serikali kupunguza asilimi ya kuchangia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kila mtumishi ni mara mia moja serikali iondoe hiyo asilimia 5 ichangie 10% ni mtumishi achangie ileile iliyokuwepo badala ya kumbebesha mtumishi mzigo huo ambao inafahamika fika kabisa kuwa fedha hiyo mtumishi hataipata.
Soma No.10 yenye ammendment of section 12.
Kitendo hicho kitaleta athari kubwa sana kwa watumishi wa umma ambao wanachekelea kupandishwa mishahara na mama wakati fedha iliyoongezwa itakatwa kwa upande wa pili.
MADHARA YA SHERIA HIYO:
1. Madaraja ya mishahara waliyopewa watumishi na Dr. Samia yatakuwa sawa na bure.
2. Watumishi watajenga chuki na hasira dhidi ya serikali yao.
3. Fedha hiyo watakayokatwa hkun namna wataipata isipokuwa inapunguza mishahar yao na kuongeza ukali wa maish kwa watumishi wa umma.
4. Ikumbukwe mishahara haijaongezwa hivyo kwa watumishi na familia nyingi zikiwemo zile zinazotunzwa na watumishi hao itakuwa ni msiba mkubwa sana.
5. Morari ya kufanya kazi na kujituma kwa watumishi itashuka sana.
6. Kura za mama Samia zitaathirika sana kwa sababu tayari kwa watumishi kura zao zitakuwa rehani.
MWISHO, MAMA YETU KIPENZI, DR. RAIS NA AMIRI JESHI MKUU TAFADHALI USISAINI HYO MAREKEBISHO, YAFUTE UTARATIBU WA ZAMANI NDO UBAKI VILEVILE.
Kama ni hoja ya serikali kupunguza asilimi ya kuchangia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa kila mtumishi ni mara mia moja serikali iondoe hiyo asilimia 5 ichangie 10% ni mtumishi achangie ileile iliyokuwepo badala ya kumbebesha mtumishi mzigo huo ambao inafahamika fika kabisa kuwa fedha hiyo mtumishi hataipata.
Soma No.10 yenye ammendment of section 12.