Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Rais naamini upo kwaajili ya kutetea maslahi ya watu wa nchi hii. Uliamua watumishi wote waliotolewa kazini kwa matatizo ya vyeti walipwe stahili zao.
Napenda kukufahamisha kuwa hadi leo hii tarehe 7.03 2023 wapo baadhi ya waliokuwa watumishi wa serikali kupitia Bank ya NMB hawajalipwa fedha zao.
Nina ushahidi wa shemeji yangu tangu December mwaka jana PSSSF wanatuambia fedha imeshalipwa kupitia benki ya NMB lakini ukienda benki wanakwambia fedha hakuna mara utaambiwa mtandao unasumbua.
Kwakweli imekua ni kero tunaomba serikali iingilie kati kuwasaidia wananchi hawa.
Najua serikali ina mkono mrefu basi suala hili lichukuliwe kwa uzito wake..
Ahsante!
www.jamiiforums.com
Napenda kukufahamisha kuwa hadi leo hii tarehe 7.03 2023 wapo baadhi ya waliokuwa watumishi wa serikali kupitia Bank ya NMB hawajalipwa fedha zao.
Nina ushahidi wa shemeji yangu tangu December mwaka jana PSSSF wanatuambia fedha imeshalipwa kupitia benki ya NMB lakini ukienda benki wanakwambia fedha hakuna mara utaambiwa mtandao unasumbua.
Kwakweli imekua ni kero tunaomba serikali iingilie kati kuwasaidia wananchi hawa.
Najua serikali ina mkono mrefu basi suala hili lichukuliwe kwa uzito wake..
Ahsante!
Agizo la Rais Samia latekelezwa, Hatimaye vyeti fake walipwa mafao yao
Hello Tanzania. Wale waliokuwa wanapinga na kujiapiza kwamba kamwe vyeti Fake hawatalipwa wajitokeze Sasa kuja kujamba tena upuuzi wao.. Hongera sana Serikali na Rais mwenye utu Kwa kuwalipa stahiki zao Watumishi waliofukuzwa na Dhalimu Kwa vyeti Fake.. Mtu alikuwa Mwizi afu anakuja kuharibu...