BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Dude is very smart bookwise ila wizara ya fedha sio mahali pake. Wizara ya fedha inahitaji a practising economist. Mwigulu uchumi aliuweka kando zamani siku hizi amekuwa mwanasiasa. Hapa ilitakiwa aina ya watu kama hayati Dr. Mgimwa au Makamu wa Raisi Dr. Mpango. Serikali inawajua watu wengi ambao ni practising economists sijui kwanini mmemuweka mwanasiasa. Tujifunze kwa wenzetu walioendelea kwasababu mambo ya uteuzi hayajaanzia kwetu.
Nasikia mfumo wa ukusanyaji mapato wa serikali kwa njia ya Control Number haufanyi kazi sasa hivi kwa zaidi ya mwezi mmoja. Huu mfumo ndio uliowezesha kupungua kwa wizi wa fedha za umma, maana risiti ya malipo unapata palepale unapolipia na fedha zote zinaenda hazina kabla ya kurudi kwenye taasisi husika. Ukifungwa huu maana yake watu wataaanza kukusanya hela za umma mikononi na upigaji utarudi tutrudi miaka 10 nyuma.
Mimi sikupangii cha kufanya Mheshimiwa ila una uwezo mkubwa wa kupata taarifa sahihi, zitumie tafadhali. Tumechoka kuwa kwenye nchi ambayo hata ufanyeje uwezo wa kifedha wa mtu mmoja hauwezi kuzidi dola za kimarekani billioni 10. Nchi yetu bajeti yake kwa mwaka ni kati dola billioni 10 hadi dola billioni 15, hii sio sawa.
Kuna watu wanazaliwa bila hela wana fught mpaka anakuwa na uwezo wa kuingiza tsh milioni 100 kwa mwezi consistently, lakini kwasababu ya uchumi mdogo hapo ndio inakua kikomo chake. Tungekua na uchumi imara hii nchi ingekua na mamimilionea wa dollar wengi sana.
Muhamishe wizara Mwigulu tafadhali, kuna wachumi wazuri sana nchi hii teua mmoja uchumi upae. Ni aibu wataalamu wa uchumi wa Tanzania wanaenda kushauri nchi kama South Africa, mashrika kama IMF na WB kuhusu kupunguza umasikini wakati nchi yetu sisi bado masikini.
Pata watu ambao wataongeza pato la taifa kwa kuchochea biashara za nje ya nchi. Tutapata hela za ziada ambazo hazipo kwenye mzunguko na bajeti yetu itakua. Sio mtu anataka kuongeza kodi juu ya VAT ambayo watu wanakatwa bila hiari yao.
Wizara nyingine hizo sawa ila hii inahitaji msomi, Marekani kuna mama amabe ni kiongozi wa idara ya fedha. Mama yule tokea ameanza kwenda shule yeye anawaza uchumi tu, ana phd za uchumi na ameandika vitabu vya kutosha kuhusu uchumi. Sisi masikini huku mnatuwekea mwanasiasa mwenye masters ya uchumi hapo UDSM.
Inatakiwa twende kwa kasi na Mwigulu sio mmoja wa watu wanaotakiwa kwenye wizara ya fedha.
Nasikia mfumo wa ukusanyaji mapato wa serikali kwa njia ya Control Number haufanyi kazi sasa hivi kwa zaidi ya mwezi mmoja. Huu mfumo ndio uliowezesha kupungua kwa wizi wa fedha za umma, maana risiti ya malipo unapata palepale unapolipia na fedha zote zinaenda hazina kabla ya kurudi kwenye taasisi husika. Ukifungwa huu maana yake watu wataaanza kukusanya hela za umma mikononi na upigaji utarudi tutrudi miaka 10 nyuma.
Mimi sikupangii cha kufanya Mheshimiwa ila una uwezo mkubwa wa kupata taarifa sahihi, zitumie tafadhali. Tumechoka kuwa kwenye nchi ambayo hata ufanyeje uwezo wa kifedha wa mtu mmoja hauwezi kuzidi dola za kimarekani billioni 10. Nchi yetu bajeti yake kwa mwaka ni kati dola billioni 10 hadi dola billioni 15, hii sio sawa.
Kuna watu wanazaliwa bila hela wana fught mpaka anakuwa na uwezo wa kuingiza tsh milioni 100 kwa mwezi consistently, lakini kwasababu ya uchumi mdogo hapo ndio inakua kikomo chake. Tungekua na uchumi imara hii nchi ingekua na mamimilionea wa dollar wengi sana.
Muhamishe wizara Mwigulu tafadhali, kuna wachumi wazuri sana nchi hii teua mmoja uchumi upae. Ni aibu wataalamu wa uchumi wa Tanzania wanaenda kushauri nchi kama South Africa, mashrika kama IMF na WB kuhusu kupunguza umasikini wakati nchi yetu sisi bado masikini.
Pata watu ambao wataongeza pato la taifa kwa kuchochea biashara za nje ya nchi. Tutapata hela za ziada ambazo hazipo kwenye mzunguko na bajeti yetu itakua. Sio mtu anataka kuongeza kodi juu ya VAT ambayo watu wanakatwa bila hiari yao.
Wizara nyingine hizo sawa ila hii inahitaji msomi, Marekani kuna mama amabe ni kiongozi wa idara ya fedha. Mama yule tokea ameanza kwenda shule yeye anawaza uchumi tu, ana phd za uchumi na ameandika vitabu vya kutosha kuhusu uchumi. Sisi masikini huku mnatuwekea mwanasiasa mwenye masters ya uchumi hapo UDSM.
Inatakiwa twende kwa kasi na Mwigulu sio mmoja wa watu wanaotakiwa kwenye wizara ya fedha.