Rais Samia tuwe wawazi, uteuzi wa Mwigulu ulichemka

Teuzi za Tz hakuna uchambuzi, ni vi-memo. Matokeo ni kuwa na watendaji wa aina ya Mwigulu. Nimesoma maelezo yake kuhusu kodi ya miamala, ni utumbo mtupu. Ongezeko la kodi za miamala ni kuongeza utajiri wa makampuni ya simu, ambayo ni wao wamiliki wakuu. Na hayalipi kodi sahihi, zaidi ya kubadirisha majina pindi kipindi cha msamaha wa kodi kikiisha.
 
Hii Wizara inahitaji Waziri makini kwa mambo ya uchumi
 
1. Mwingulu Nchemba
2. Dorothy Gwajima
3. Mollel

hapana hakuna kitu kama Dorothy muda wote yuko kishari ama anakwenda kumsuta mke mwenzake.... huyu Mollel muda wote ana mawazo kama kanyang'wa mke khaaaa sijawahi ona.

Ni hayo tuu kwa leo
 
1. Mwingulu Nchemba
2. Dorothy Gwajima
3. Mollel

hapana hakuna kitu kama Dorothy muda wote yuko kishari ama anakwenda kumsuta mke mwenzake.... huyu Mollel muda wote ana mawazo kama kanyang'wa mke khaaaa sijawahi ona.

Ni hayo tuu kwa leo
Hawa ni mawaziri mzigo kabisa kwa Mh.SSH
 
unajuwa mnapoandika msiandike kiushabiki tu jamani mimi nalipia malipo kwa control numba kila siku sasa huko amabko control number haifasnyi kazi ni wapi?
Sihusiki na malipo kwa control number, kama nilipoanza aya ya kwanza, "Kama kweli....", kumaanisha nimesoma kwa mleta mada, sina uhakika kama ni ukweli, na endapo ni kwelu basi maoni yangu yalifuata. Nadhani mkuu ndo umesoma kiushabiki kile nilichoandika.

Yote kwa yote, haifuti ukweli kuwa ni Waziri mzigo.
 
Yani tungekua na waziri wa fedha competent, kila mtu angekua na furaha mwezi huu. Bajeti mpya inaanza na vilio.
 
Clouds kazi yao ni pamoja na kusafisha wanasiasa corrupt,we nenda na hela zako pale na uwaambie wakupambe japo wewe ni jambazi wataanza kujibanabana na weee na kukuita mtukufu! Kile ki tv ni trash kabisa siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…