Pre GE2025 Rais Samia: Uchaguzi ujao chagueni maendeleo, anayekufaa wakati wa dhiki ndiye rafiki

Pre GE2025 Rais Samia: Uchaguzi ujao chagueni maendeleo, anayekufaa wakati wa dhiki ndiye rafiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
GUNkR2iXgAAymtR.jpg


"Niwaombeni chaguzi zinazokuja hizi elekeeni kwenye maendeleo, waswahili wanasema anayekufaa kwa dhiki ndiye nani? sasa ntakushangaa una rafiki mzuri ndani ya nyumba yako anayekufaa kwa dhiki zote, kula, kuvaa na yote, unakwenda kwa rafiki mwingine nje ya nyumba yako ambaye hakufai kitu au anataka uchukue anachokileta rafiki yako wa nyumbani umpe yeye" - Rais Samia


===

Naunga mkono hoja hii,sio wakati wa neema ndio watu wanajitokeza kujifanya wema tena wanakuja na msimulizi matamu ila wakati wa shida walikuwa wanawacheka eti mkome.

Nadhani Wananchi wa Tanzania wameelewa vyema ujumbe wa Mh.Rais na hawatafanya kosa Mwaka 2024 &2025.

My Take
Kila mtu atakula kule anakopeleka unga na ataota moto na wale ambao walisenya Kuni pamoja.
 
Ni kweli kuwa CCM siyo tu ni sawa na jirani asiye na msaada, bali ni jirani anayeiba na kukunyang'anya hata kidogo ulichopewa na jirani mzuri au hata ulichojitafutia mwenyewe.

CCM imeweka kodi na tozo nyingi ili kuwapora wananchi hata kidogo walicho nacho.

Hata pesa ambayo nchi inapewa misaada na nchi marafiki, hata mikopo, nayo wanapora. Angalia reports za CAG za kila mwaka ujue haya majitu ya CCM yalivyo maharamia. Halafu ni syndicate ya majizi, ndiyo maana huwezi kusikia yeyote miongoni mwao amefikishwa mahakamani kwa ufisadi na wizi. Kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
View attachment 3062178

"Niwaombeni chaguzi zinazokuja hizi elekeeni kwenye maendeleo, waswahili wanasema anayekufaa kwa dhiki ndiye nani? sasa ntakushangaa una rafiki mzuri ndani ya nyumba yako anayekufaa kwa dhiki zote, kula, kuvaa na yote, unakwenda kwa rafiki mwingine nje ya nyumba yako ambaye hakufai kitu au anataka uchukue anachokileta rafiki yako wa nyumbani umpe yeye" - Rais Samia


===

Naunga mkono hoja hii,sio wakati wa neema ndio watu wanajitokeza kujifanya wema tena wanakuja na msimulizi matamu ila wakati wa shida walikuwa wanawacheka eti mkome.

Nadhani Wananchi wa Tanzania wameelewa vyema ujumbe wa Mh.Rais na hawatafanya kosa Mwaka 2024 &2025.
Kwa jinsi nlivyo mwelewa huyu mama ni kwamba kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru ukuaji wa uchumi na pato la mtu moja moja haiakisi uhalisia kwa mtanzania wa kawaida hivyo basi ili kupata mabadiliko na ufanisi kiutedaji kwa lengo lakupata maendeleo mama katuasa tusifanye makosa tuchague watu wenye weledi , na mtazamo mpya na bila shaka watu kama hao hawawezi toka CCM ……. hivyo chagueni maendeleo nukta … mwisho wa kunukuuu
 
View attachment 3062178

"Niwaombeni chaguzi zinazokuja hizi elekeeni kwenye maendeleo, waswahili wanasema anayekufaa kwa dhiki ndiye nani? sasa ntakushangaa una rafiki mzuri ndani ya nyumba yako anayekufaa kwa dhiki zote, kula, kuvaa na yote, unakwenda kwa rafiki mwingine nje ya nyumba yako ambaye hakufai kitu au anataka uchukue anachokileta rafiki yako wa nyumbani umpe yeye" - Rais Samia


===

Naunga mkono hoja hii,sio wakati wa neema ndio watu wanajitokeza kujifanya wema tena wanakuja na msimulizi matamu ila wakati wa shida walikuwa wanawacheka eti mkome.

Nadhani Wananchi wa Tanzania wameelewa vyema ujumbe wa Mh.Rais na hawatafanya kosa Mwaka 2024 &2025.
Mimi nimemuelewa vizuri Sana.

Ni KWELI Wananchi wa Morogoro walichagua umaskini kwenye chaguzi zilizopita, ndio maana mpaka Sasa bado wapo kwenye lindi la umaskini mkubwa kutokana na kuchagua vibaya Watu wasiofaa ambao wapo madarakani hivi sasa.
Ndio maana Sasa hivi Rais wa nchi anawaambia waache kuendelea kuchagua umaskini, badala yake wabadilike na wachague maendeleo
 
View attachment 3062178

"Niwaombeni chaguzi zinazokuja hizi elekeeni kwenye maendeleo, waswahili wanasema anayekufaa kwa dhiki ndiye nani? sasa ntakushangaa una rafiki mzuri ndani ya nyumba yako anayekufaa kwa dhiki zote, kula, kuvaa na yote, unakwenda kwa rafiki mwingine nje ya nyumba yako ambaye hakufai kitu au anataka uchukue anachokileta rafiki yako wa nyumbani umpe yeye" - Rais Samia


===

Naunga mkono hoja hii,sio wakati wa neema ndio watu wanajitokeza kujifanya wema tena wanakuja na msimulizi matamu ila wakati wa shida walikuwa wanawacheka eti mkome.

Nadhani Wananchi wa Tanzania wameelewa vyema ujumbe wa Mh.Rais na hawatafanya kosa Mwaka 2024 &2025.
Aache hadaa za kijinga, maendeleo ya nchi yanaletwa kwa kodi za wananchi, sio mambo ya akufaaye kwa dhiki maana sio hela za ccm.

Hata hivyo hategemei kura kukaa madarakani, bali wahesabu kura.
 
Mimi nimemuelewa vizuri Sana.

Ni KWELI Wananchi wa Morogoro walichagua umaskini kwenye chaguzi zilizopita, ndio maana mpaka Sasa bado wapo kwenye lindi la umaskini mkubwa kutokana na kuchagua vibaya Watu wasiofaa ambao wapo madarakani hivi sasa.
Ndio maana Sasa hivi Rais wa nchi anawaambia waache kuendelea kuchagua umaskini, badala yake wabadilike na wachague maendeleo
Sasa unachagua Machadema watakusaidia nini? Si umaskini tuu? Ndio maana hata Mbeya baada ya kuchagua Tulia mambo ni bam bam, Machadema yamekuwa pale miaka 10 hakuna Cha maana
 
Aache hadaa za kijinga, maendeleo ya nchi yanaletwa kwa kodi za wananchi, sio mambo ya akufaaye kwa dhiki maana sio hela za ccm.

Hata hivyo hategemei kura kukaa madarakani, bali wahesabu kura.
Wachague Machadema waone kama Kodi watapata au hapana.

Ccm iunde Serikali harafu Ipeleke walikoikataa? Hawana ujinga huo.Wakivjagua Wapinzani waambieni wpinzani walete maendeleo
 
Kwa jinsi nlivyo mwelewa huyu mama ni kwamba kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru ukuaji wa uchumi na pato la mtu moja moja haiakisi uhalisia kwa mtanzania wa kawaida hivyo basi ili kupata mabadiliko na ufanisi kiutedaji kwa lengo lakupata maendeleo mama katuasa tusifanye makosa tuchague watu wenye weledi , na mtazamo mpya na bila shaka watu kama hao hawawezi toka CCM ……. hivyo chagueni maendeleo nukta … mwisho wa kunukuuu
Tunazungumzia awamu ya 6,mambo ya miaka ya uhuru sijui nini Haina mantiki Kwa Sasa.

Utakula ulikopeleka mboga 😁😁
 
Ni kweli kuwa CCM siyo tu ni sawa na jirani asiye na msaada, bali ni jirani anayeiba na kukunyang'anya hata kidogo ulichopewa na jirani mzuri au hata ulichojitafutia mwenyewe.

CCM imeweka kodi na tozo nyingi ili kuwapora wananchi hata kidogo walicho nacho.

Hata pesa ambayo nchi inapewa misaada na nchi marafiki, hata mikopo, nayo wanapora. Angalia reports za CAG za kila mwaka ujue haya majitu ya CCM yalivyo maharamia. Halafu ni syndicate ya majizi, ndiyo maana huwezi kusikia yeyote miongoni mwao amefikishwa mahakamani kwa ufisadi na wizi. Kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake.
Kila mtu ale alikopeleka mboga.Mbeya walijaribu,Ifakara walijaribu na kwingine walichoambulia ni maneno na umaskini huku waliowachagua wao wakizidi kunenepeana.

Utakula ulikopeleka mboga
 
Wachague Machadema waone kama Kodi watapata au hapana.

Ccm iunde Serikali harafu Ipeleke walikoikataa? Hawana ujinga huo.Wakivjagua Wapinzani waambieni wpinzani walete maendeleo
Msichukue kodi walikochagua wapinzani, kisha muone mabadiliko ya kweli kwenye sehemu walizochagua wapinzani.
 
Msichukue kodi walikochagua wapinzani, kisha muone mabadiliko ya kweli kwenye sehemu walizochagua wapinzani.
Sheri Iko wazi aliyeunda Serikali ndio anachukua Kodi Sasa unachagua Wapinzani wakati unajua hawawezi kujda Serikali? Lazima wanyooshwe kwa ujinga wao.
 
Sheri Iko wazi aliyeunda Serikali ndio anachukua Kodi Sasa unachagua Wapinzani wakati unajua hawawezi kujda Serikali? Lazima wanyooshwe kwa ujinga wao.
Kwenye chaguzi na siasa za kipuuzi uko sahihi.
 
Back
Top Bottom