Rais Samia umewafunga 'speed governor' Chalamila na Hapi, hongera sana

Rais Samia umewafunga 'speed governor' Chalamila na Hapi, hongera sana

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
JF

Katika kitu mama amefanikiwa ndani ya muda mfupi ni kurejesha nidhamu ya viongozi wateule wa rais.

Itakumbukwa hapo nyuma wakuu wa mikoa ya Mbeya na Iringa walijiona ni miungu watu ndani ya nchi hii, walikuwa wanafanya mambo wanayojisikia hata kama ni kinyume na haki za viongozi.

Huyu Chalamila alikuwa ni mropokaji maarufu, hakuna siku ilikuwa inapita bila kupata habari zake kwenye tv, radio na magazeti ya CCM kutokea Mbeya.

Hapi ndio alikuwa hovyo, alifikia hatua amejaa kibri mpaka kuwatusi wazee wa nchi hii.

Kwa sasa speed governor aliyoifunga Mama Samia Suluhu Imemaliza kila kitu. Huyu Chalamila hata kwenye Tv haonekani kabisa kitu ambacho haikuwa kawaida

Chalamila ameufyata rasmi
 
Hapi ndio alikuwa hovyo, alifikia hatua amejaa kibri mpaka kuwatusu wazee wa nchi hii
Hapa ndipo Samia ameonesha mapungufu makubwa kuwakumbatia WAOVU! Hili ni kosa limeandikwa tayari.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

 
Back
Top Bottom