unavuja jasho gani hali umegoma na unakwepa kulipa toto la miamala. Katika hizo zinazoibiwa wewe zako ngapi?Sawa mkuu,maana wewe ni mzungu wa ulaya huusiki na nchi hii,sisi wananchi wavuja jasho hatutokoma kukemea maana amani ya nchi hii inalindwa na wasema kweli tu na si wanafiki
We ni pimbi KWA kweli,hivi hambakizagi hata akili kidogo vichwani mwenu?Au hyo bange haitokagi kichwani alywaysKipindi dhalimu anateka na kuua watu, huku akiwapa ulaji sukuma gang mbona hukukemea ule uhuni? Saa hii mnapigwa chini na msoga line mnaanza kujifanya mlikuwa na wananchi. Mngekuwa na wananchi mngejigeuza kuwa majizi ya kura? Hakuna mtu anawaunga mkono majizi ya Msoga line, wala nyie majizi na makatili ya sukuma gang.
Hebu tutoe ushahidi wana skendo xipi?Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Hata Sasa nimetoka kuibiwa Tozo KWA kukatwa kilazima.unavuja jasho gani hali umegoma na unakwepa kulipa toto la miamala. Katika hizo zinazoibiwa wewe zako ngapi?
Unaweza google hao watu wako upate majibu,sina muda wa kuanza kukupekulia ushahidi humu kama kunuka walishanuka sana,wao na familia zao wanajua wewe kimbele front ya nn kukubembeleza hapa uamini
Itoshe kusema tu,nyuzi kama hizi si saizi y'all wewe mjanja mjanja wa mjini kupitia kulamba miguu ya watuUnateseka Sana mkuu,vumilia hadi 2035 ni kwa bahati mbaya na ajali kazini mlipata nafasi mkaharibu saizi mnatapatapa kama mfa maji.
Niletee Basi,mwizi mkubwa wee na fisadi mtoto weeeKunywa sumu umfuate Kayafa kuzimu
Tayari kaisha wangusha we zunguka vijijini ndio utajuaMama samia,muda wako utapita ila historia yako haitojidanganya kama bwana yule wa awamu za escrow na richmond.
Nakuonea huruma kama mama na huenda usije waangusha kina mama wenzio ktk future kukosa kuaminiwa tena.
Ubungo wako 1kb,mambo kama haya lazima utoe PUMBA tuHeri hilo kundi lirudi lina faida maana linakula na wengi hadi hela zinafika mitaani,sio lile kundi lenu wachache hela zilipotea kabisa mtaani.
Kuna wajinga wachache bado hawaeliwi,muda utawafundisha kama wanafikiri kumtetea na kumpamba ndo kumjenga na kulikomoa kundi fulaniTayari kaisha wangusha we zunguka vijijini ndio utajua
Acha uchonganishi mwandishi,Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
ni pimbi KWA kweli,hivi hambakizagi hata akili kidogo vichwani mwenu?Au hyo bange haitokagi kichwani alyways
Acha uchonganishi mwandishi,
Mwache Rais afanye kazi na yeyote anayemtaka,
Mambo ya magenge hayaishi kwenye siasa
Anachofanya ndo analigawa Taifa kabisa,ni mawazo yangu tu,na nyie wapiga zumari ndo mnampoteza kabisaYote yafanyike ila utu na uhai wa mwanadamu uheshimiwe, ulindwe.
Mama pambana na safisha makundi yote maovu, watanzania hatutaki kusikia tena mambo ya kutekana, watanzania hatutaki tena kuona mtu anapigwa risasi MCHANA kweupe maeneo ya bunge.
Mama endelea kuliunganisha Taifa, hii ni nchi ya watu wote na wala sio nchi ya watu flani.
Msimpangie Rais mwacheni apange timu yake.
Najua haya yote ni kwa ajili ya Januari Makamba, sababu mnamwogopa kwa kuwa kawazidi kielimu, kifikra, Hekima, nidhamu.
Wacha iendelee kunyesha ili tuone panapovuja
Je unaowanyooshea kidole cha lawama,haijawezekana kuthibitisha tuhuma zao muda wote huo,vipi ukapitishwa hatua walizopita he utachomoka?au nafasi walizozipata ulishahili wewe?Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Hapo mnazidi kumpoteza dira mazima; ukiwaweka pembeni waliopatikana bila mchango wake atawapata wapi wengine nje ya kapu kama sio kutaka kuleta chepe lenye mchanga wa awamu zilizopita au kujaza kutoka visiwani.......kwa namna Tanzania ilivyo miaka minne kwa kiongozi aliyejitoa kutumika kwa ajili ya wengine ataiona ni muda mrefu na wenye mateso lakini kama ni kwa faida binafsi matarajio na tamaa zitzidi sana na hatimaye kuna ajali mbaya itatokeaKila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Sikubaliani nawe Mkuu.Awe nao tu ili awabane na kuwajua zaidi.Keep your friends close.But keep your enemies even closer.Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.