Rais Samia, unaona upunguze bei ya Pombe uongeze kwenye Mafuta na Miamala ya Simu kweli?

Rais Samia, unaona upunguze bei ya Pombe uongeze kwenye Mafuta na Miamala ya Simu kweli?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Rais ambaye umekulia mazingira ambayo unayafaham vizuri. Unabana kwenye Mafuta ambako ni usafiri uti wa mgongo wa maendeleo. Unaongeza kodi huko.

Kuumiza wakulima, wafanyabiashara na wafugaji. Unaachia kwenye kilevi ili wote tuwe tunalewa tusitumie tena akili. Si ndiyo?

Unaongeza kodi kwenye miamala ambako Watanzania maskini wengi wamejiajiri. Unafanya hivyo kuwaumiza Watanzania wengi walioamua kujiajiri na kuajiri wengine.

Unaona kabisa ni sahihi na unafuraha moyoni ukizunguka huku na kule? Hujisikii hata dhambi kuwadhulumu Watanzania? Kukusanya kodi ya dhulma kwa maskini?
 
Labda mchumi Nchemba alimshauri hivyo,maana ni ajabu ya mwaka unapunguza Kodi kwenye harmful and luxury goods na kuongeza Kodi kwenye vitu vya muhimu na lazima kwa wananchi.
 
Rais ambaye umekulia mazingira ambayo unayafaham vizuri. Unabana kwenye Mafuta ambako ni usafiri uti wa mgongo wa maendeleo. Unaongeza kodi huko...
Pombe haikupunguzwa Bei, unafikili kutoka kiwandani hadi zifike kwako hizo pombe zitakuja zinatembe zenyewe kwa miguu?
 
Pombe haikupunguzwa Bei ,unafikili kutoka kiwandani hadi zifike kwako hizo pombe zitakuja zinatembe zenyewr kwa miguu?
Tumia ubongo kufikiri. Masaburi acha yawe kwa ajili ya kukalia tu. Hapo ndo utaweza waelewa wanaotumia ubongo.
 
Rais ambaye umekulia mazingira ambayo unayafaham vizuri. Unabana kwenye Mafuta ambako ni usafiri uti wa mgongo wa maendeleo. Unaongeza kodi huko...
Yaan hata mie nashangaa! Pombe ingeongezwa elfu mbili!
 
Ni kama vile mama ntilie kumkopesha chakula mlevi...

Vitu vingine haviingi akilini, unajiuliza hawa waliofanya hivi walitumia akili kufikiri ama makalio?

Ile kauli yao ya kifala tunawasaidia wanyonge, wameshatuoana sisi mafala, na sisi tunavyokaa kimya wao ndio vichwa sisi mikia.. Nchi hii ina ufala sana ndani yake.
 
Kwahiyo kwakuwa wewe ulevi wako ni Mirungi na Bangi ulitaka Pombe iongezwe tu Kodi?
Tumia ubongo kufikiri. Masaburi acha yawe kwa ajili ya kukalia tu. Hapo ndo utaweza waelewa wanaotumia ubongo
 
Anaongeza kwenye mafuta. Halafu watu wanasa eti mwigulu ndo kamshauri hivyo. Kwa hiyo yeye hawezi kufikiri?
Ndiyo ajabu yenyewe hiyo!!! Kikwete alisema akili ya kuambia changanya na ya kwako!!! Kwani yeye hakuchanganya na ya kwake? Hatuishi kwa kutumia akili ya kuambiwa!!!
 
Pombe haikupunguzwa Bei, unafikili kutoka kiwandani hadi zifike kwako hizo pombe zitakuja zinatembe zenyewe kwa miguu?
Komeo umegusa maslahi ya mdudu hapo. Hahahaaa.
Pombe haikupunguzwa Bei, unafikili kutoka kiwandani hadi zifike kwako hizo pombe zitakuja zinatembe zenyewe kwa miguu?

Tumia ubongo kufikiri. Masaburi acha yawe kwa ajili ya kukalia tu. Hapo ndo utaweza waelewa wanaotumia ubongo.
 
Back
Top Bottom