Rais Samia upo vizuri lakini kwa hili la kutuweka barabarani kwa muda mrefu hapana

Rais Samia upo vizuri lakini kwa hili la kutuweka barabarani kwa muda mrefu hapana

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Kwa kifupi.

Tumefika na tupo hapa Mkata kutokea Namanga kwenda Dar Es Salaam.

Tumeshuka na kukaa ili kukusubili wewe na msafara wako upite. Hii kitu imenipa wakati mgumu sana kuwaza na kutafuta jibu hata sijalipata.

Wewe ndiye mwenye maamuzi na viongozi walio chini yako kufanya mageuzi ya utaratibu kati yenu na sisi wananchi pale mnapokuea kwenye ziara kama hii.

Tumekaa almost 2hrs na bahati mbaya hatupewi taarifa labda kwa sababu za usalama wako ila kama bado unahutubia wananchi hapo Handeni kwa nini tuzuiwe kwa muda wote huu?.

HII SI SAWA hata kidogo, pamoja na kuwepo wagonjwa kwenye gari nyingine bado nasema si sawa Mh. Rais.

Tubadirike kwa kuweka utaratibu mzuri.

Asante 2025!.
 
Ungekuwepo enzi za Sunaye akiwa PM ungelia,tukikaa Nyerere road masaa matatu,kumbe jamaa hata hajaamka,
Nikujulushe tu raisbado yuko handeni muda huu wikiliza redio ndio kwanza hajapanda hata jukwaani
 
Itifaki iwe inaenda na wakati, helkopta zipo angepaa angani tu mpaka kituo cha kuhutubia. Hao wengine watembee na magari wapishane na magari mengine ili pasiwepo kero kwenye msafara wa Rais
 
Kwa kifupi.

Tumefika na tupo hapa Mkata kutokea Namanga kwenda Dar Es Salaam.

Tumeshuka na kukaa ili kukusubili wewe na msafara wako upite. Hii kitu imenipa wakati mgumu sana kuwaza na kutafuta jibu hata sijalipata.

Wewe ndiye mwenye maamuzi na viongozi walio chini yako kufanya mageuzi ya utaratibu kati yenu na sisi wananchi pale mnapokuea kwenye ziara kama hii.

Tumekaa almost 2hrs na bahati mbaya hatupewi taarifa labda kwa sababu za usalama wako ila kama bado unahutubia wananchi hapo Handeni kwa nini tuzuiwe kwa muda wote huu?.

HII SI SAWA hata kidogo, pamoja na kuwepo wagonjwa kwenye gari nyingine bado nasema si sawa Mh. Rais.

Tubadirike kwa kuweka utaratibu mzuri.

Asante 2025!.
Sisi tuko Segera taagu saa saba Raisi anahutubia Mkata!
 
Ungekuwepo enzi za Sunaye akiwa PM ungelia,tukikaa Nyerere road masaa matatu,kumbe jamaa hata hajaamka,
Nikujulushe tu raisbado yuko handeni muda huu wikiliza redio ndio kwanza hajapanda hata jukwaani
Tulishafika mjini Dar Es Salaam mkuu.
---
But 😂 😂 kwamba ningekuwepo wkt wa Sumaye siyo?
 
Mkiwa mnalalamika tu huku hawatowaelewa, jaribuni kuingilia misafara yao hata mara Moja ili kutuma ujumbe kwa vitendo
 
Kwa kifupi.

Tumefika na tupo hapa Mkata kutokea Namanga kwenda Dar Es Salaam.

Tumeshuka na kukaa ili kukusubili wewe na msafara wako upite. Hii kitu imenipa wakati mgumu sana kuwaza na kutafuta jibu hata sijalipata.

Wewe ndiye mwenye maamuzi na viongozi walio chini yako kufanya mageuzi ya utaratibu kati yenu na sisi wananchi pale mnapokuea kwenye ziara kama hii.

Tumekaa almost 2hrs na bahati mbaya hatupewi taarifa labda kwa sababu za usalama wako ila kama bado unahutubia wananchi hapo Handeni kwa nini tuzuiwe kwa muda wote huu?.

HII SI SAWA hata kidogo, pamoja na kuwepo wagonjwa kwenye gari nyingine bado nasema si sawa Mh. Rais.

Tubadirike kwa kuweka utaratibu mzuri.

Asante 2025!.

Ujinga ujinga sasa Mama kila mtu anajua anadanganya mnasubiri kuambiwa uongo au! fanyeni kazi zetu. 4R zimeishia wapi. Ripoti ya mzee wa Tanga Kibao zimeishia wapi si alisema haraka! toka mwaka jana. Acheni kufanywa wajinga
 
Kwa kifupi.

Tumefika na tupo hapa Mkata kutokea Namanga kwenda Dar Es Salaam.

Tumeshuka na kukaa ili kukusubili wewe na msafara wako upite. Hii kitu imenipa wakati mgumu sana kuwaza na kutafuta jibu hata sijalipata.

Wewe ndiye mwenye maamuzi na viongozi walio chini yako kufanya mageuzi ya utaratibu kati yenu na sisi wananchi pale mnapokuea kwenye ziara kama hii.

Tumekaa almost 2hrs na bahati mbaya hatupewi taarifa labda kwa sababu za usalama wako ila kama bado unahutubia wananchi hapo Handeni kwa nini tuzuiwe kwa muda wote huu?.

HII SI SAWA hata kidogo, pamoja na kuwepo wagonjwa kwenye gari nyingine bado nasema si sawa Mh. Rais.

Tubadirike kwa kuweka utaratibu mzuri.

Asante 2025!.
"Asante 2025"
 
Sijui kama huwa wanaelewa wananchi wanawahi sehemu tofauti tofauti kama hosp airport stand. Wanawaongezea umaskini tu.
 
Sijui kama huwa wanaelewa wananchi wanawahi sehemu tofauti tofauti kama hosp airport stand. Wanawaongezea umaskini tu.
Nilimuuliza afande mmoja wa usalama barabarani akanijibu kuwa wanafaham kwenye baadhi ya magari wanayoyasimamisha kuna wasafiri wagonjwa nk, ila hata wao wanalazimishwa kutusimamisha raia.
 
Back
Top Bottom