Rais Samia usikubali ugomvi na Watumishi wa Umma

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Tunajua kuna watu washakuletea mezani kwako takwimu kwamba uchumi unayumba hivyo usiongeze mishahara ya watumishi, mama akikubali hilo huo utakuwa msumari wa mwisho kwenye jeneza lako, kumbuka una vita ya Mfumo dume ambayo inaendeshwa na wana ccm wenzio wanafanya kila mbinu wapate point za kukugombanisha na makundi mbali mbali nchini!!

Sasa wanakuandalia mgogoro na watumishi kwa kukushawishi usiongeze mishahara hapa utakuwa umejizika rasmi, kundi la watumishi ndo kete yako muhimu ukishindwa kuliona na hili basi sina cha kukusaidia mama angu mpendwa!!!

Huu mpango nimeudaka mahali wanauandaa kiuweledi kuuleta mezani kwako ili kukugombanisha na watumishi wako wa umma
 
Acha uzushi mbona jiwe aliwaminya miaka 5 na hamkufanya lolote? Tulie
Unadhani walio shugjulika na swala la yeye kupumzika ni machinga ambao alikuwa anaimba wimbo wa wa unyonge siku zote? Ni watumishi haohao wa hapo mzena ambao alikuwa amewakandamiza 5yrs
 
Mama kama ilivyokua JK hahitaji kura zenu.
 
Sasa wakimwambia uchumi uko vizuri akaongeza alafu akashindwa kuwalipa mtacheka kwa hilo?
 
Mwigula si hana interest na urais 2025
 
Sasa wakimwambia uchumi uko vizuri akaongeza alafu akashindwa kuwalipa mtacheka kwa hilo?
Hakuna uwezekano wa serikali kushindwa kulipa mishahara. Vyanzo vya mapato ni vingi ni kuzuia tu mapato yasitapanywe
 
Unadhani walio shugjulika na swala la yeye kupumzika ni machinga ambao alikuwa anaimba wimbo wa wa unyonge siku zote? Ni watumishi haohao wa hapo mzena ambao alikuwa amewakandamiza 5yrs
Watumishi wamzena waliongezewa malupulupu Mzee amka kumekucha[emoji28]
 
Watumishi wa bongo hatuna umoja wala nini cha kuweza kumuumiza kiongozi yeyote hapa nchini.
 
Huwezi kuwa na taarifa kumzidi maza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kama magufuri alikua na mgogoro na watumishi na hakua amejiyonga iweje mama
 
Acha kumtisha Mama,,Hakuna cha kumfanya Mama,, Tena Mama usiongeze mishahara,,uongeze kwa KAZI ipi???asiyetaka aondoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…