Rais Samia usikubali wananchi wa Jangwani wadhulumike

Rais Samia usikubali wananchi wa Jangwani wadhulumike

ras jeff kapita

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
22,152
Reaction score
33,899
Hawa ni wananchi wapo bonde la Jangwani karibu na club ya Yanga. Wengine wana hati wengine wana ofa.

Wote hao maeneo yao yanatwaliwa kwa ajili ya mradi wa uendelezaji wa Bonde hilo. Tafadhali hawa watu wenye umiliki wa ardhi kihalali/ kisheria wasichanganywe na squatters/ wavamizi na kujumuishwa wote kwa pamoja wapate fidia flat rate ya Mil 4.

Ni muhimu na ni haki watu hawa walipwe fidia stahiki.

Mama wewe ni mtu wa haki hawa wenye umiliki halali kisheria walipwe fidia ya ardhi.

Malalamiko yamekuwa ni mengi.
 
Eneo la jangwani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1970 halikuwa na wakazi zaidi ya jengo la Yanga. Hao wanaodai kuwa wakazi wa eneo hilo tena kwa hati ni wavamizi waliofumbiwa macho na Wizara ya Ardhi na makazi.
Kuanzia TBL na mfereji wake wa maji machafu, Ilala Boma, msimbazi Center na Magomeni hakukuwa na majengo wala wakazi. Jangwani yote kulikuwa na viwanja vingi tu vya mpira zikiwemo timu za watoto za Simba na Yanga. Hii janja janja naona imegeuka kuwa utamaduni wa kujipatia kipato. 😲
 
Eneo la jangwani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1970 halikuwa na wakazi zaidi ya jengo la Yanga. Hao wanaodai kuwa wakazi wa eneo hilo tena kwa hati ni wavamizi waliofumbiwa macho na Wizara ya Ardhi na makazi.
Kuanzia TBL na mfereji wake wa maji machafu, Ilala Boma, msimbazi Center na Magomeni hakukuwa na majengo wala wakazi. Jangwani yote kulikuwa na viwanja vingi tu vya mpira zikiwemo timu za watoto za Simba na Yanga. Hii janja janja naona imegeuka kuwa utamaduni wa kujipatia kipato. 😲
Eneo la jangwani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1970 halikuwa na wakazi zaidi ya jengo la Yanga. Hao wanaodai kuwa wakazi wa eneo hilo tena kwa hati ni wavamizi waliofumbiwa macho na Wizara ya Ardhi na makazi.
Kuanzia TBL na mfereji wake wa maji machafu, Ilala Boma, msimbazi Center na Magomeni hakukuwa na majengo wala wakazi. Jangwani yote kulikuwa na viwanja vingi tu vya mpira zikiwemo timu za watoto za Simba na Yanga. Hii janja janja naona imegeuka kuwa utamaduni wa kujipatia kipato. 😲
Hati zilitolewa na serekali ya Tanzania na pia walikuwa wakilioia kodi za viwanja miaka yote hiyo.
 
Hati zilitolewa na serekali ya Tanzania na pia walikuwa wakilioia kodi za viwanja miaka yote hiyo.
Sawa, lakini kubali au kataa. Jangwani unayoiona leo haikuwa na wakazi mabondeni kuanzia miaka ya 70. wauza mboga mboga wachache ndio walianza kulima lima bustani kando kando ya ule mtaro wa maji machafu ya kiwanda cha bia. Migogoro ya ardhi yote inaanzishwa na watendaji wabadhirifu. Unatoaje hati ya kiwanja kwenye eneo la bonde ndani ya mita 60?
 
Walishalipwa na Kikwete wakapewa na viwanda mwabepande
 
Sawa, lakini kubali au kataa. Jangwani unayoiona leo haikuwa na wakazi mabondeni kuanzia miaka ya 70. wauza mboga mboga wachache ndio walianza kulima lima bustani kando kando ya ule mtaro wa maji machafu ya kiwanda cha bia. Migogoro ya ardhi yote inaanzishwa na watendaji wabadhirifu. Unatoaje hati ya kiwanja kwenye eneo la bonde ndani ya mita 60?
Miaka hiyo 1970s hapakuwa na makazi maeneo hayo ila viwanja vya mpira.
 
Back
Top Bottom