Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Mama Samia ukweli ulio wazi kabisa ni kuwa watanzania walio wengi ni wakulima.
Hapa nazungumzia 70% ya watanzania wote, hebu jionee jinsi hili kundi lilivyo na watu wengi kuliko shughuli nyingine yoyote.
Bei ya mbolea ni kilio na kilio tena, Hawa wakulima walio wengi hata umeme hawajui upoje wao ni jembe, jembe na wao.
Weka nguvu huku, wasaidie hawa. Jana nilikuwa songea, wakulima wanalia sana na bei.
Hii Bei hawajawahi kuishuhudia katika maisha yao, ni kilio tu.
Mama Samia Kama itakupendeza weka ruzuku kwenye mbolea ili Bei ishuke uwasaidie hawa.
Walizoea kununua UREA kwa 50,000 Leo wanainunua 100,000.
Fanya Jambo huku mama
Hapa nazungumzia 70% ya watanzania wote, hebu jionee jinsi hili kundi lilivyo na watu wengi kuliko shughuli nyingine yoyote.
Bei ya mbolea ni kilio na kilio tena, Hawa wakulima walio wengi hata umeme hawajui upoje wao ni jembe, jembe na wao.
Weka nguvu huku, wasaidie hawa. Jana nilikuwa songea, wakulima wanalia sana na bei.
Hii Bei hawajawahi kuishuhudia katika maisha yao, ni kilio tu.
Mama Samia Kama itakupendeza weka ruzuku kwenye mbolea ili Bei ishuke uwasaidie hawa.
Walizoea kununua UREA kwa 50,000 Leo wanainunua 100,000.
Fanya Jambo huku mama