Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Katika Ziara za mheshimiwa wetu Samia huko Morogoro "amesema kuna wanasiasa "wajanja" wanaonunua mazao kwa ei ya chini na hivyo kuelekeza bei zipandishwe.
Nyerere aliwaita "kupe, wahujumu uchumi, mafedhul na mabaradhuli"
Kuwaita wajanja unawapa uhalali wa kuendela kufanya wafanyalo na kuona wapo sawa.
Nyerere aliwaita "kupe, wahujumu uchumi, mafedhul na mabaradhuli"
Kuwaita wajanja unawapa uhalali wa kuendela kufanya wafanyalo na kuona wapo sawa.