Rais Samia weka mkazo kwenye Kilimo

Kwenye kilimo hatamataifa ya nje hawapendi kutuona tukipiga hatua hasa kwa kuwekeza nguvu kwa vijana na watu wa chini ambao ni wengi sana na ukiwekeza kwa hao kikamilifu nchi itakua na maendeleo sana. Wahisani pia wanapenda kuona tuna shida za Covid, TB, ukimwi malaria nk hapo wanatoa support faster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…