Rais Samia yupo sahihi. Ni Jambo gani nyie Wabongo mnaliweza?

Rais Samia yupo sahihi. Ni Jambo gani nyie Wabongo mnaliweza?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Ukiachana na wizi na ukosefu wa maadili ngono na Pombe je ni taasisi gani mmeweza kuiendesha ikaleta manufaa kwa taifa letu la Asali na masiwa?

Huyu Mama kosa lake lipo kuwa chini ya chama chakavu lakini kichwani she a head of our time na tukiwatoa Mama zetu Mwanamke aliyebaki na akili ni huyu Tz nzima.
 
Ukiachana na wizi na ukosefu wa maadili ngono na Pombe je ni taasisi gani mmeweza kuiendesha ikaleta manufaa kwa taifa letu la Asali na masiwa?

Huyu Mama kosa lake lipo kuwa chini ya chama chakavu lakini kichwani she a head of our time na tukiwatoa Mama zetu Mwanamke aliyebaki na akili ni huyu Tz nzima.
Tuanze na wewe hapo sasa unaweza lipi?
 
Ukiachana na wizi na ukosefu wa maadili ngono na Pombe je ni taasisi gani mmeweza kuiendesha ikaleta manufaa kwa taifa letu la Asali na masiwa?

Huyu Mama kosa lake lipo kuwa chini ya chama chakavu lakini kichwani she a head of our time na tukiwatoa Mama zetu Mwanamke aliyebaki na akili ni huyu Tz nzima.
Ndivyo tulivyo! Akileta wawekezaji tunalalamika, asipoleta njaaaa!!
Mgonjwa kama Mtanzania mdunge sindano tu hata Akilia kilio cha mbwa; akipona ndiyo atajua sindano maana yake nini! Sawa na huu uwekezaji wa Bandari --- iruhusiwe tuone
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna vijana wake wanasema ni mweupe ushungini anategemea mawazo ya matapel na yeye anaingia mzima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ccm ni hatari ! mama hana noma ila sasa wahuni wamefanya achafuke kabisa yani.
 
Tatizo ni usimamizi dhaifu... Nashangaa Kwa Nini isijengwe ikulu ndogo bandarini mkuu wa nchi awe anaamkia hapo...unajengaje ikulu Dodoma na kuacha pale bandarini panapoingiza karibu nusu ya Pato la taifa..
 
Back
Top Bottom