Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.
Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?
Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?
Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.
Hii kauli sio.
Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?
Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?
Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.
Hii kauli sio.