Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mimi nilikataa kumuita Mama.Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.
Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?
Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?
Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.
Hii kauli sio.
View attachment 2223614
Weye naye kwa kulalamika haujambo.Acheni nchi itulie.Au tukuitie Ighondu na Mahita junior?Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.
Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?
Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?
Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.
Hii kauli sio.
View attachment 2223614
mambo ya kishamba sana.Weye naye kwa kulalamika haujambo.Acheni nchi itulie.Au tukuitie Ighondu na Mahita junior?
Yani yeye ni malalamiko tu.Hapumziki! Utadhani mtoto mdekaji.mambo ya kishamba sana.
hawa jamaa humu JF ni kama wametumwa yaani nyuzi zote malalamiko ya kufa mtu mpaka unaweza kudhani tumeshatekwa nchi haipo tena, sijui makusudio ni nini.Yani yeye ni malalamiko tu.Hapumziki! Utadhani mtoto mdekaji.
Unaweza kuikimbia nchi ukidhani tumetekwa? Hahahahaaa!hawa jamaa humu JF ni kama wametumwa yaani nyuzi zote malalamiko ya kufa mtu mpaka unaweza kudhani tumeshatekwa nchi haipo tena, sijui makusudio ni nini.
mkuu ni hatari hawa jamaa wataniua kwa presha maana nikija JF najua ohoo tumeshakuwa wakimbizi, nikija mtaani mambo yanaendelea .Unaweza kuikimbia nchi ukidhani tumetekwa? Hahahahaaa!
Ni hangover inawasumbua.Bado hawaamini matokeo.Mpaka sasa ubao unasoma 7-0!Dakika ya 85.mkuu ni hatari hawa jamaa wataniua kwa presha maana nikija JF najua ohoo tumeshakuwa wakimbizi, nikija mtaani mambo yanaendelea .
hahaha jamaa wanatia huruma sana.Ni hangover inawasumbua.Bado hawaamini matokeo.Mpaka sasa ubao unasoma 7-0!Dakika ya 85.
Hupaswi kuwachukia.Wana Ile kitu inaitwa "psychosis effection"!Ni muda wa kuwaombea kimojawapo.Kama ni:-hahaha jamaa wanatia huruma sana.
Kwa hiyo ilikuwa halali kupambana na baba ndiyo maana kafa kabla ya wakati wake? DaahNimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.
Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?
Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?
Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.
Hii kauli sio.
View attachment 2223614
sasa kwa heshima na taadhima namkabidhi kwako mkuu EtwegeHupaswi kuwachukia.Wana Ile kitu inaitwa "psychosis effection"!Ni muda wa kuwaombea kimojawapo.Kama ni:-
-sala na maombi kwa Mungu,
-Maji ya kunywa,au
-Uji wa Moto watibu tonsils.
Jamaa amejipa jina bovu kama machicha ya komoni.hahahaa akija mimi nisihusishwe mkuu.
hahahaaaa.Jamaa amejipa jina bovu kama machicha ya komoni.
Hivi na weye ni mwerevu?Nchi inakwama hii.Weye ni mwerevu? HahahahaaaHii inaingia vipi hapa? Ndio maana nakuona mpumbavu unayelazimisha kiki kujibishana na mwerevu kama mimi.
hahaha acha hasira za kisoviet mkuu.Hii inaingia vipi hapa? Ndio maana nakuona mpumbavu unayelazimisha kiki kujibishana na mwerevu kama mimi.
Akili nyingi ndiyo zinakuwa hivyo?Nchi inakwama.Acha kumuonea wivu SSH.Mimi nina akili nyingi sana. Sio kama wewe malaya
Hivi atakuwa kakunja mikono ya blauzi yake anataka kupigana na watu ambao hata hawaoni wala kuwafahamu.hahaha acha hasira za kisoviet mkuu.
hahahaha ngoja tumfukuze kwenye uzi kwanza.Hivi atakuwa kakunja mikono ya blauzi yake anataka kupigana na watu ambao hata hawaoni wala kuwafahamu.