Rais taifisha majengo ya kifisadi Dege Eco Village

Rais taifisha majengo ya kifisadi Dege Eco Village

celinawetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
1,330
Reaction score
1,059
Mheshimiwa Rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.
 
Ww akili zako ni fupi unafkiri akbar mjinga mjinga nenda kataifishe upelekwe mahakam ya biashara uk ulipe na riba nara dufu. Mnashindwa na iptl uwizi wa wazi sembuse eco
 
Mheshimiwa rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.
Mbona Nssf qana hisa kubwa zaidi?
 
Wakati Mwingine Mnaweza Kusema Mwajiriwa Nssf
Kumbe Ni Kada La Ccm Kindakindaki
Halafu Hao Akina Akbar Mkimgusa Mnamgusa Jumanne Kapalatu Ikumbukwe Kuwa Akbar Ni Kaburi


Na Mkulu Alisema Makaburi Mengine Hajafukiliki
UnaweZa Kufukiwa Humo Humo Nawe.
 
Mheshimiwa rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.

Lile ni jipu sasa ni miezi nane hakuna kinachoendelea ni hasara mbaya,tumia MAMLAKA ulonayo utaifishe MH rais
 
Mheshimiwa rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.
Watanzania ni watu waajabu sana. Huku mnalalamika na mnashabikia wale ambao waliomba mikopo ya elimu ambayo hawajairejesha na huku mnamuomba rais amnyang'anye mali mwekezaji bila uthibitisho wowote ule unaeleza kuwa amepata mali hizo kinyume na sheria. Jee hiki mnachomuomba rais afanye siyo udikteta???? Halafu ni nyinyi mnaolalamika kuwa rais wetu ni dikteta. Ajabu sana.
 
Bavicha kazi yao kulalamika tu utafikiri mbwa koko anaweza bwekea hata beseni kisa limeachwa nje usiku.
 
Lile ni jipu sasa ni miezi nane hakuna kinachoendelea ni hasara mbaya,tumia MAMLAKA ulonayo utaifishe MH rais
Mi ningekuwa pombe fasta ningeshatia mkononi na kuwapa wazawa wayamalizie ziwe kota za jeshi la polisi
 
Mi ningekuwa pombe fasta ningeshatia mkononi na kuwapa wazawa wayamalizie ziwe kota za jeshi la polisi
Huwezi kuwa kwani hana roho ya mkato kama yako! Huko uliko unaonekana kuwa mzigo na huenda ulipachikwa hapo baada ya jambo fulani kutolewa kama takrima hususani kutoka kwako! Akbar ni mwekezaji na ana mtaji wake na nguvu zake kwenye mradi huo bila kujali alikopa wapi kwa riba ya kiasi gani! Kukurupuka huko unakokurupuka kushawishi ujinga hakuisaidii nsff wala serikali bali kumfaidisha Akbar endapo makosa yatafanyika.
Kaanzisheni mradi wenu kama mnafikiri ni rahisi!
 
Huwezi kuwa kwani hana roho ya mkato kama yako! Huko uliko unaonekana kuwa mzigo na huenda ulipachikwa hapo baada ya jambo fulani kutolewa kama takrima hususani kutoka kwako! Akbar ni mwekezaji na ana mtaji wake na nguvu zake kwenye mradi huo bila kujali alikopa wapi kwa riba ya kiasi gani! Kukurupuka huko unakokurupuka kushawishi ujinga hakuisaidii nsff wala serikali bali kumfaidisha Akbar endapo makosa yatafanyika.
Kaanzisheni mradi wenu kama mnafikiri ni rahisi!

Mhh kumbe dau uko huku?
 
Huu mfuko ni moja ya mifuko ya wizi/ujambazi kabisa, wanachama wanachangia michango yao kwa miaka hadi 45 ila wanachokuja kupata ni aibu kabisa. pia pension kwa mwezi ni aibu tupu. Mijizi inaingia mikataba ya kijambazi ili tu wapige 20%. Dau alitakiwa anyongwe kabisa. Nina uchungu we acha tu! Mfuko mwingine ni ppf.
 
Mheshimiwa rais katika hali ilivyo ni vigumu kuvunja mkataba na Akbar. Hebu fikiria ku 'confiscate' yale majengo kwa faida ya umma maana ni jipu lisilobebeka.
Alivyo chiz..ostomiasis anaweza kutaifisha kweli.

Na akishazoea na kupitiliza atamtaifisha my wife wako.
 
Huu mfuko ni moja ya mifuko ya wizi/ujambazi kabisa, wanachama wanachangia michango yao kwa miaka hadi 45 ila wanachokuja kupata ni aibu kabisa. pia pension kwa mwezi ni aibu tupu. Mijizi inaingia mikataba ya kijambazi ili tu wapige 20%. Dau alitakiwa anyongwe kabisa. Nina uchungu we acha tu! Mfuko mwingine ni ppf.

PPF Haina miradi ya kifisadi Dg wao Mr.Erio yupo smart na ni mcha Mungu na kwa taarifa yako tu PPF ndio mfuko pekee ambao upo imara katika balance sheet za mapato na matumizi kuliko mifuko yote Tanzania...na wazo la kuunganisha Mifuko litaiumiza zaidi PPF cz ni sawa na kuunganisha Ng'ombe mwenye maziwa na ng'ombe asiye na maziwa alafu wamiliki wapokee mapato nusu kwa nusu...
 
Back
Top Bottom