Rais Trump kuwahamisha Wapalestina ili kuijenga Upya Gaza? Ntetanyahu amuunga Mkono Trump !!

Rais Trump kuwahamisha Wapalestina ili kuijenga Upya Gaza? Ntetanyahu amuunga Mkono Trump !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina 🤣🤣🤣


Hamrudi Ng'ooooo , ndo itakua imeishaa !!

The Greater Israel lazima irudi kuwapo kabla ya Ujio wa YESU KRISTO MUNGU ALIYE HAI MILELE NA MILELE ( Kwa Wayahudi wao wanamuita MASIHI ).

Kwa msioelewa, Wayahudi wanaamini Ujio wa MASIHI ni lazima kwao Hekalu liwe limejengeka, na Hekalu kujengeka ni lazima Taifa la Israel kijiografia, liwe lile lililoko kwenye Maandiko yao !!.

Bye bye Gaza
 
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Hamrudi Ng'ooooo , ndo itakua imeishaa !!

The Greater Israel lazima irudi kuwapo kabla ya Ujio wa YESU KRISTO MUNGU ALIYE HAI MILELE NA MILELE ( Kwa Wayahudi wao wanamuita MASIHI ).

Kwa msioelewa, Wayahudi wanaamini Ujio wa MASIHI ni lazima kwao Hekalu liwe limejengeka, na Hekalu kujengeka ni lazima Taifa la Israel kijiografia, liwe lile lililoko kwenye Maandiko yao !!.

Bye bye Gaza
Sasa wewe kinacho kusimbua ni mhemuko wa ulokole, hapo akili huwezi kutimia tena duh.
 
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina
 
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina 🤣🤣🤣


Hamrudi Ng'ooooo , ndo itakua imeishaa !!

The Greater Israel lazima irudi kuwapo kabla ya Ujio wa YESU KRISTO MUNGU ALIYE HAI MILELE NA MILELE ( Kwa Wayahudi wao wanamuita MASIHI ).

Kwa msioelewa, Wayahudi wanaamini Ujio wa MASIHI ni lazima kwao Hekalu liwe limejengeka, na Hekalu kujengeka ni lazima Taifa la Israel kijiografia, liwe lile lililoko kwenye Maandiko yao !!.

Bye bye Gaza

Kama ana nia njema si awape California huko, au?
 
Back
Top Bottom