Rais Trump : Wamarekani Kuajiriwa au kupandishwa vyeo kwa kuzingatia Uwezo wako na sio Jinsia yako

Rais Trump : Wamarekani Kuajiriwa au kupandishwa vyeo kwa kuzingatia Uwezo wako na sio Jinsia yako

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max .

Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.

Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.

Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .
 
Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max .

Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.

Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.

Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .

Yupo sahihi kabisa, hajakosea katika hili.
 
Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max .

Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.

Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.

Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .
Hii inatakiwa ije bongo, efficiency imbebe mtu
 
Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max .

Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.

Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.

Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .
Naunga mkojo. Trump yuko sahihi
 
Back
Top Bottom