Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Njoo Bongo, Kuna mapambio Kila siku , Si Wanawake Si Wanaume wa bongo walioko vyaman wao wameamua kua machawa Pro Max .
Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.
Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.
Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .
Na kweli bana,Uchawa Kwa Bongo unalipa.
Wao wana msemo wao ukitaka kutoka lazima umsifie aliyetoka.
Matokeo yake kuanzia majeshini, Mahakaman, Wizaran Bungeni ,Kila Mahali ni uchawa tuu .