KERO Rais tunaomba utoe maagizo TANROADS kuja na mkakati wa kupunguza foleni Kituo cha Kimara Korogwe

KERO Rais tunaomba utoe maagizo TANROADS kuja na mkakati wa kupunguza foleni Kituo cha Kimara Korogwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Mheshimiwa Rais na mama yetu mpendwa Samia Suluhu Hassan,
kwa kuwa umeamua chini ya utawala wako kuhakikisha Jiji la Dar linakuwa na miundombinu ya uhakika na uthibitisho na kwa jinsi jiji lote lilivyosheni vifaa vya ujenzi wa barabara.

Kwa kuwa Morogoro Road ndio barabara kuu kwa nchi yetu tunaomba uwaagize Engineers wa TANROADS wakupatie mkakati unaonyesha ni kwa jinsi gani foleni eneo la Kimara Korogwe itaondolewa.

Nawasilisha
 
barabara si inatanuliwa unataka solution gan wakat tatizo ni ufinyu wa barabara hasa kituo cha mwendokasi kimara
 
Speed ya ujenzi ni ndogo, halafu sasa mataa hayafanyi kazi basi balaa tupu, kila siku matrafki lazima wawepo kuongoza magari, sasa husiombee roli lizingue....... halafu bado mvua hapo zikija sijui itakuwaje.
 
Back
Top Bottom