Rais Uhuru hadi sasa ametimiza kura 7,263,496 kidogo zifikie idadi yake ya mwanzo

Tueleze hiki bwana MK254 iweje mtu mgombea pekee yake anaibuka na"kura" zaidi ya waliojitokeza. 6.5 vs 7. 2 million, sijui nini bado wanapika kule Bomas..... Aisee mnatubeba ufala!!!

Binafsi sina hilo jibu, japo mwenyekiti alisema awali bandiko lake kwenye Twitter lilikua makadirio tu, na kinachojitokeza sasa hivi ni uhalisia, lakini pia kuna uwezekano wa michezo ya kiaina ya kuongeza kura, mfano hai ni yule mbunge wa Murang'a mrs. Wahome alivyokua anang'ang'ania afisa wa mirejesho, nilitazama hio video huyo mama alivyokua anatokwa mipovu ikawa wazi kuna kitu alitaka kukifanya.

Kwa kifupi this thing had to be called, we can't politic forever, am damn sure there is no easier way around it, we are just a small country in Africa trying to illuminate democratically. The things we keep on yearning for will be implemented and realized by new breed of politicians but not the current crop of akina Uhuru, Ruto, Raila and Kalonzo these are remnant of the old order and they don't know any other way of doing things.

We will pay a price to get rid of them, very expensive one. Uhuru will be sworn in, then Raila will marshal his supporters into constant running battles for a long time, day by day there will be fatalities which may degenerate into civil war that can lead to genocide because ours is a country driven by tribal considerations.

But am a bit consoled by the fact that Raila has no access to Kalenjin youths like was the case in 2008, otherwise we would be talking about mass killings by now. Also Uhuru's name is still in ICC and anytime he might be dragged back, so he is exercising restraint when dealing with current situation, otherwise he would have unleashed some sort of bloodletting.
So we are a bit safe, only God knows for how long. Lakini mkiendeleza na fujo, inabidi kuhama hili liinchi maana everything has a limit.
 
Huyo mama alitaka kupika numbers, maskini kapatikana na journalist flani hapo. Theft.
Hii kitu ya kupostpone haki mimi siitakangi. Justice here and now. Tabia mbaya ya uibaji kura na kuponda maoni ya mkenya wa kawaida itafanya watu kuamini kuwa kupiga kura sio njia ya kuwa na mabadiliko. Wakenya wengi wameshafika hiyo conclusion ya kuwa kura sio njia ya kubadili chochote. Mambo ya youth wa hili au lile kabila ni kitu sipendagi kusikia, kwani wengine ni kuku wa kuchinjwa chinjwa kila mara? Tusiwe na hizo fikra maanake tutakuwa na vijikundi mbali mbali ndani ya nchi ambao watajihami na silaha, that is, kama tiyari hawajafanya hilo. Nadhani wakenya wengi watakubali kuwa wanataka process sawa na sio kubanwa kila mara na IEBC. Kenya ikichomeka tulaumu IEBC na sio viongozi wa upinzani maanake wamejaribu njia ya haki na uwazi ya kura na kortini, lakini deep state hawataki Kenya ibadilike.
 
Wewe ni lazima utetee. Hakuna election hapo mmefanya, ni udikteta na katiba yenu bora imesaidia kufanikisha huo ukora.
 
Fanya hesabu kama unajua kukokotoa, waliojiandikisha ni milioni 19, waliojitokeza kupiga ni milioni saba.
Hivyo ni wazi turnout ilikua ndogo.... Maana ilikua ya upande mmoja tu, ni hesabu hata mtoto wa chekechea anaweza kukusaidia kukotoa.
Wapishi wa IEBC wanapika kwa mahesabu sio muzaha,na hawatatangaza mpaka wabalance mambo yote.kazi mliyotutuma tumeimaliza.πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Kichekesho Uhuru alisema hawezi kugawana na Raila lakin ukweli lazima aongee nae kama kweli anataka kufanya kazi otherwise ajiandae
 
[ [/QUOTE]




Why am I arriving at 6 votes? ...ama haya ndio mapishi unamaanisha?hehehe
 

8/8/2017Uhuru alipata kura 8.2 million na wakati huu ni 7.5 million( or around there) kama IEBC walivyotangaza. Ujue kuwa wapo wapiga kura wengine walisharudi kwenye sehemu zao za kazi katika sehemu tofauti na walipojiandikisha kupiga kura siyo rahisi kuomba ruhusa kurudi kwao kupiga kura tena. Kwa hiyo Uhuru ameshinda kwa kura nyingi sana kama Rais wa Zanzibar Dr Shein alivyoshinda marudio ya kura ya Urais Tanzania - Visiwani(Zanzibar) baada ya Maalim kususia, Dr Shein alishinda kwa zaidi ya 99% na sasa Rais Uhuru ameshinda kwa zaidi ya 98% baada ya Mhe Raila Odinga kususia uchaguzi! Kwa hiyo hakuna mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…