Rais Uhuru Kenyatta aingia msikiti na kusali, asema anajifunza kusema neno TAKBIR

nisaidieni kwa mkristo inaruhusiwa kuingia msikitini na kuswali? je haiwezekani wakristo na waislam wakafanya swala ya pamoja mfano kuliombea taifa?
...swala.ya pamoja kwa utaratibu gani !?
 
Kuna kuomba (duwa) na kuswali, ni vitu viwili tofauti ! Waislaam na wakiristo hawezi kuswali pamoja !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…