Rais Uhuru Kenyatta asaini kuwa sheria muswada wa haki ya kupata taarifa

Rais Uhuru Kenyatta asaini kuwa sheria muswada wa haki ya kupata taarifa

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
1473000785839.jpg
Muswada wa haki ya kupata taarifa nchini Kenya wa mwaka 2015, hatimaye umetiwa saini na Rais kuwa sheria, ukiruhusu raia wa Kenya kupata taarifa kwa uhuru kutoka Serikalini pamoja na ofisi nyingine za umma.

Muswada huu ni miongoni wa miswada mingine 9 ambayo Rais Uhuru Kenyatta ametia saini kuwa sheria juma hili.

Miswada mingine ni pamoja na ile ya mkaguzi wa hesabu za Serikali, muswada wa fedha za matumizi ya ziada, muswada wa baraza la taifa la mitihani, muswada wa haki ya ardhi asilia, muswada wa haki za kueleza tamaduni,muswada wa utunzaji wa misitu, muswada wa sheria ya sheria ya ardhi na ule wa bidhaa za kilimo.

Kipengele cha sheria ya haki ya kupata taarifa, kifungu namba 35 cha katiba ya Kenya, kinaipa mamlaka tume ya mahakama na bodi maalum iliyoundwa kuhakikisha utekelezaji wa sheria hiyo mpya.

Sheria hii mpya sasa unaondoa ukiritimba ulikuwepo awali kutoka taasisi fulani za serikali ambazo zilikuwa zinasifika kwa kuwanyima wananchi taarifa kwa kile ofisi hizo zilikuwa zikidai ni siri.

Kwa mujibu wa shirika la kimataifa la Transparency, linasema sheria ya haki ya kupata taarifa ni suala la lazima kwa ofisi za umma kutoa taarifa kuhusu serikali na taasisi zake, kuhusu inachofanya, wafanyakazi wake na muundo wa mishahara.

Sheria hii pia inalazimika taasisi nyingine za serikali kuelezea kwa umma hatua ambazo imechukua, sera au maamuzi kwa wananchi wake ikiwa watataka kufahamu.
 
Kuna ndugu yetu akiona hivyo sijui anajisikiaje.
Uhuru jambo la muhimu sana, kuongoza wananchi utasema unaongoza ng'ombe waliopo zizini ndiyo mwanzo wa matatizo.
 
Tanzania itaendelea kuwa ya mwisho hadi pale ccm itakapofutwa
 
Huku tunaligawanya taifa,nahamia Kenya mimi
 
We sio mtz rudi kwenu kenya utuachie tz yetu tuishi kwa amani
 
View attachment 393520Muswada wa haki ya kupata taarifa nchini Kenya wa mwaka 2015, hatimaye umetiwa saini na Rais kuwa sheria, ukiruhusu raia wa Kenya kupata taarifa kwa uhuru kutoka Serikalini pamoja na ofisi nyingine za umma.

Muswada huu ni miongoni wa miswada mingine 9 ambayo Rais Uhuru Kenyatta ametia saini kuwa sheria juma hili.

Miswada mingine ni pamoja na ile ya mkaguzi wa hesabu za Serikali, muswada wa fedha za matumizi ya ziada, muswada wa baraza la taifa la mitihani, muswada wa haki ya ardhi asilia, muswada wa haki za kueleza tamaduni,muswada wa utunzaji wa misitu, muswada wa sheria ya sheria ya ardhi na ule wa bidhaa za kilimo.

Kipengele cha sheria ya haki ya kupata taarifa, kifungu namba 35 cha katiba ya Kenya, kinaipa mamlaka tume ya mahakama na bodi maalum iliyoundwa kuhakikisha utekelezaji wa sheria hiyo mpya.

Sheria hii mpya sasa unaondoa ukiritimba ulikuwepo awali kutoka taasisi fulani za serikali ambazo zilikuwa zinasifika kwa kuwanyima wananchi taarifa kwa kile ofisi hizo zilikuwa zikidai ni siri.

Kwa mujibu wa shirika la kimataifa la Transparency, linasema sheria ya haki ya kupata taarifa ni suala la lazima kwa ofisi za umma kutoa taarifa kuhusu serikali na taasisi zake, kuhusu inachofanya, wafanyakazi wake na muundo wa mishahara.

Sheria hii pia inalazimika taasisi nyingine za serikali kuelezea kwa umma hatua ambazo imechukua, sera au maamuzi kwa wananchi wake ikiwa watataka kufahamu.

HEHEHHEHE MTAITWA WACHOCHOZI NYIEEEE
 
kwahivyo inamaanisha mtu yoyote kwa sasa ana haki ya kuitisha details za dili za uchimbaji mafuta na madini, pia project kubwa kubwa kama vile SGR,Eurobond....... na serikali ikikataa una haki ya kuwashtaki mahakamani na kuwalazimisha wakupatie details..... ohh pia IEBC sasa watalazimika kueka details za upigaji kura kila mkenya ajionee mwenyewe kila detail ya matokeo ya uchaguzi.... murwa kabisa!!!!




tumetoka mbali

Written by Transparency International Kenya .
September 23 rd. font size   Print Email
Comments: Be the first to comment!
Rate this item (2 votes)
Tweet
In April 2014, activist Okiya Omtata was arrested at the Milimani Law Courts in Nairobi “for possessing Government confidential documents” relating to the controversial multi-billion shilling Standard Gauge Railway project. Mr. Omtata had presented the said documents as evidence in a court petition.
Article 35 of the Constitution of Kenya, 2010 guarantees citizens the right to access information held by the State. However, Mr Omtata found himself on the ‘wrong side of the law’ despite the constitutional provision for access to information.
Access to information
35. (1) Every citizen has the right of access to—
(a) information held by the State; and
(b) information held by another person and req for
the exercise or protection of any right or fundam
freedom.
(2) Every person has the right to the correcti deletion of
untrue or misleading information that affect person.
(3) The State shall publish and publicise any impo information
affecting the nation.
According to Elijah Ambasa, the Programme Officer, Governance and Policy at Transparency International Kenya, the problem is that the Official Secrets act, 1992 has not yet been repealed and can therefore be applied by law enforcement.
“This law (The Official Secrets Act, 1992) should be repealed because it does not communicate to the current constitution. We still don’t have a clear policy and law on access to information. We also don’t have a whistleblower protection policy and law which can protect Kenyans even as they blow the whistle on corruption” said Mr. Ambasa.
Even if Mr. Omtata, or any other Kenyan citizen requested for information on any public project or interest, chances are, they would not be allowed access to that information. This is because there is no law to actualise Article 35 of the Constitution.
“Article 35 of the Constitution of Kenya is just a guideline but it should be comprehensively addressed through an Act of Parliament. An Act would consider a wide spectrum of issues based on the guidelines provided for in Article 35. For example matters to do with the procedure for access to information can only be found in an Act of Parliament in detail. An act of parliament will now look at various thematic issues like procurement, recruitment, administration et cetera,” added Mr. Ambasa.
So, why isn’t there an access to information law in place four years after the Constitution of Kenya was promulgated in 2010? The Commission for the implementation of the Constitution (CIC) forwarded the Access to Information Bill, 2013 to the Attorney General (AG) for publication and presentation to the National Assembly in 2013. However, by the time of publication, the bill is yet to be debated by the National Assembly.
“Stakeholders have developed a new strategy of including access to information provisions in other bills, for instance the draft Public Procurement and Asset Disposal Bill currently at the AG’s office,” said Mr. Ambasa.
By Collins Baswony
The writer is the Deputy Communication Officer, Transparency International Kenya
 
sasa bado tueke sheria ya whistleblower protection act alafu tutakua sawa kabisa, itakua rahisi kuzui ufisadi
 
Kuna ndugu yetu akiona hivyo sijui anajisikiaje.
Uhuru jambo la muhimu sana, kuongoza wananchi utasema unaongoza ng'ombe waliopo zizini ndiyo mwanzo wa matatizo.
Yeye akisema anahitaji maombi sawa, lakin huyu jamaa, hata kwa Gleda sipotezi muda wangu kulitaja jina lake kwa kumuombea
 
Back
Top Bottom