pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana risk asiwe anatumia barabara haswa akienda tz ,hao ni wachawi wataroga magari yakwame barabarani.
Hahaha! 😀 Rais Uhuru Kenyatta yupo salama sana akiwa kaskazini mwa Tz na huwa wanamkaribisha kwa mbwembwe nyingi sana mabarabarani kila mara akisafiri kuenda Arachuga. Hoja ya kuunga mkono viwanda vya 'assembly' ya magari Afrika mashariki italifaidi sana taifa la Kenya. Sio siri kwamba Kenya inaongoza kwa mbali sana kwenye nyanja hiyo, ukanda huu wote wa Afrika mashariki.Ana risk asiwe anatumia barabara haswa akienda tz ,hao ni wachawi wataroga magari yakwame barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
I will take your words to heart.hilo la viwanda bila Shaka Kenya inaongoza hatuna mpinzani hapo.Hahaha! 😀 Rais Uhuru Kenyatta yupo salama sana akiwa kaskazini mwa Tz na huwa wanamkaribisha kwa mbwembwe nyingi sana mabarabarani kila mara akisafiri kuenda Arachuga. Hoja ya kuunga mkono viwanda vya 'assembly' ya magari Afrika mashariki italifaidi sana taifa la Kenya. Sio siri kwamba Kenya inaongoza kwa mbali sana kwenye nyanja hiyo, ukanda huu wote wa Afrika mashariki.
Kenyatta akiwa Tanzania anakua salama kuliko akiwa NairobiAna risk asiwe anatumia barabara haswa akienda tz ,hao ni wachawi wataroga magari yakwame barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni kelele za chura. Hivi unajua ni foleni ya aina gani ambayo huwa inatokea, kila mara msururu wa malori, pick-up na mabasi brand new yanaposafirishwa kuelekea Namanga kutoka GM Motors na 'assembly plant' za Isuzu na Foton pale Mombasa Road? Au umekomalia tu Manzese mkipiga pumba na mapimbi wenzako?Mtafaidika vipi ikiwa serikali yenu wenyewe haiamini magari yanayotengenezwa Kenya, ni mwendawazimu pekee ndiye atakayenunua hayo MAGARI.
Sent using Jamii Forums mobile app
So silly, Kama billionaire wenu wanatekwa nyara we mlalahoi usalama upi unao?.Kenyatta akiwa Tanzania anakua salama kuliko akiwa Nairobi
Kuna state visit atafanya soon,we tulia hapo Ngong hills,ukisubiri Al shabab wafanye yao
Bila Shaka nyie wendawazimu maana mmeagiza magari ya mwendokasi kutoka Kenya na yanatengezwa.Mtafaidika vipi ikiwa serikali yenu wenyewe haiamini magari yanayotengenezwa Kenya, ni mwendawazimu pekee ndiye atakayenunua hayo MAGARI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu si majeneza yale!Bila Shaka nyie wendawazimu maana mmeagiza magari ya mwendokasi kutoka Kenya na yanatengezwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
punguza povu,Nairobi sio sehemu salama,yaani hapo una wasiwasi kama Al shababu watakujia chumbani kwako usiku huuSo silly, Kama billionaire wenu wanatekwa nyara we mlalahoi usalama upi unao?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni thubutu nini wakati huo ndio uhalisia.Thubutu si majeneza yale!
Maana Nyie ni nyani ambao hamuoni kundule ,Yani wale watu ambao wanauawa dar na Mili zao kuwekwa kwenye magunyia na kutupwa sio watanzania,wale watoto ambao mnawaua na kutoa sehemu zao za Siri usalama wao upo wapi?.punguza povu,Nairobi sio sehemu salama,yaani hapo una wasiwasi kama Al shababu watakujia chumbani kwako usiku huu
Maana Nyie ni nyani ambao hamuoni kundule ,Yani wale watu ambao wanauawa dar na Mili zao kuwekwa kwenye magunyia na kutupwa sio watanzania,wale watoto ambao mnawaua na kutoa sehemu zao za Siri usalama wao upo wapi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha longo longo zako wewe, vitengo vyenu vya usalama vimechanganyikiwa kupitiliza. Tena wakati wa amani kukichafuka hawatajua tofauti kati ya mkono wao wa kulia na wa kushoto. Zaidi ya yote rais Uhuru Kenyatta huwa anaandamana na security moja ya kufa mtu na hutaona hata mmoja wao akiwa amebebana na manati.Kenyatta akiwa Tanzania anakua salama kuliko akiwa Nairobi
Kuna state visit atafanya soon,we tulia hapo Ngong hills,ukisubiri Al shabab wafanye yao
Muache huyo kilaza ajiliwaze tu. Anadhani hatukumbuki response ya vitengo vyao vya usalama ilofata tukio hilo la utekaji yaani ilikuwa ni bongomovie moja babkubwa, comedy kuenda mbele!So silly, Kama billionaire wenu wanatekwa nyara we mlalahoi usalama upi unao?.
Sent using Jamii Forums mobile app