Malizia kwa kusema, Ni hilo tu kwa leo.Mtukufu sisi wanyonge tuko kwenye tanuri. Tunaiva juu na chini, mtaani hela hakuna, mazao na biashara havinunuliwi lakini tunatakiwa kununua kitambulisho cha mmachinga shilingi 20,000.
Haya ni mateso
Hii list ni vichekesho aisee.
Sasa hii si kodi ya kichwa tu.......
upumbavu tu, ukamlipishe muuza mchicha, mchoma mahindi.
Acha hasira Mpwa, Mimi nawakubali sana sana CCMupumbavu tu, ukamlipishe muuza mchicha, mchoma mahindi.
huku ni kukamuana
Binafsi nachukia mno watanzania wanapoitwa wanyonge... Sio jina zuri kabisa.... Kule kwetu wanyonge ni jina mbadala la wajawazitoMtukufu sisi wanyonge tuko kwenye tanuri. Tunaiva juu na chini, mtaani hela hakuna, mazao na biashara havinunuliwi lakini tunatakiwa kununua kitambulisho cha mmachinga shilingi 20,000.
Mtukufu, hata mtoto akiumwa kumpeleka hospitali ni shida. Unapoambiwa mtoto ana upungufu wa protini ndiyo kichwa kinazidi kuuma. Nyama, maziwa na mayai vimekua anasa katika maisha yetu baba.
Haya ni mateso, ninakutakia weekend njema baba.
Ni mimi raia mtiifu Sky Eclat
Nyegez zipo tu mkuu hata hali iwe ngumu vipi, hujawai kusikia wanajeshi wanabaka kwenye uwanja wa vita au watoto wanazaliwa kwenye kambi za wafungwa.hivi nyege zinazofanya mpaka kuwa na uhaba wa kondomu nchini zinatoka wapi kama mwananchi kama huyu sky anadai ana maisha magumu..akimtaka raisi wa JMT ampelekee fungu la mchicha wa 100.
๐๐๐na kweli hilo neno ni la kikoloni sanaBinafsi nachukia mno watanzania wanapoitwa wanyonge... Sio jina zuri kabisa.... Kule kwetu wanyonge ni jina mbadala la wajawazito
Jr[emoji769]