Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mh. Rais Samia wiki mbili hivi zimepita ulitamka kuwa umetuma kikosi kazi kutathmini hali ya mashirika ya Umma ili kupata jibu lipi lifutwe, lipi libinafsishwe na lipi liboreshwe. Good.
Ni kweli tumekuwa na mashirika ya Umma ambayo ni kichaka cha uhujumu uchumi, hayana tija. Na kuna mashirika au taasisi za Umma majukumu yake yanaweza kufanywa na mashirika mengine.
Mimi ombi langu ni huu MWENGE WA UHURU, huu mwenge umekuwa taasisi kamili. Upelekwe makumbusho tu inatosha sasa.
Ikilazimika sana mkauwashe hukohuko na kuuzima hukohuko. Mitaani usionekane anayetaka akauchungulie makumbusho.
Au ufutwe kabisa. UHURU tushaupata sasa watu wapate uhuru wa kiuchumi.
Tanzania bado watu wanalala chumba kimoja na kuku, mbuzi na bata. Huo sio uhuru.
Tanzania kuna watoto wana viribatumbo, hawana chakula bora na cha kutosha. Huo sio uhuru.
Mpaka leo hii wenye vyeti vya form four hata milioni 10 hawafiki, huo sio uhuru.
Ni kweli tumekuwa na mashirika ya Umma ambayo ni kichaka cha uhujumu uchumi, hayana tija. Na kuna mashirika au taasisi za Umma majukumu yake yanaweza kufanywa na mashirika mengine.
Mimi ombi langu ni huu MWENGE WA UHURU, huu mwenge umekuwa taasisi kamili. Upelekwe makumbusho tu inatosha sasa.
Ikilazimika sana mkauwashe hukohuko na kuuzima hukohuko. Mitaani usionekane anayetaka akauchungulie makumbusho.
Au ufutwe kabisa. UHURU tushaupata sasa watu wapate uhuru wa kiuchumi.
Tanzania bado watu wanalala chumba kimoja na kuku, mbuzi na bata. Huo sio uhuru.
Tanzania kuna watoto wana viribatumbo, hawana chakula bora na cha kutosha. Huo sio uhuru.
Mpaka leo hii wenye vyeti vya form four hata milioni 10 hawafiki, huo sio uhuru.