Hakuna jinsi suluhu ni kurusha taulo ulingoni!Rais wa Ukraine Volodomir Zelensky wa Ukraine amekwenda Italy ambapo atakutana na waziri mkuu wa Italia kwa mazungumzo na hatimaye kuitimisha ziara yake kwa kuonana na Papa Francis jinini Vatican ambapo anatarajiwa kuomba ushawishi wa papa kwa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya vita nchini Ukraine.
View attachment 2620630
😂😂😂Hakuna jinsi suluhu ni kurusha taulo ulingoni!
Kamuaibishaje wakati anasaidiwa na USA na ulaya yote,Putin anapigana na nchi 50Jamaa kamuaibisha sana Mzee Putin alijua mtelemko kumbe Ngoma nzito hongera kwana zelesky kwa kumtoa Putin kamas huko Moscow
Kamasi gani limemtoka mwamba PutinJamaa kamuaibisha sana Mzee Putin alijua mtelemko kumbe Ngoma nzito hongera kwana zelesky kwa kumtoa Putin kamas huko Moscow
Kwa nini mnapenda kuandika uwongo?Rais wa Ukraine Volodomir Zelensky amekwenda Italy ambapo atakutana na waziri mkuu wa Italia kwa mazungumzo na hatimaye kuitimisha ziara yake kwa kuonana na Papa Francis jijini Vatican ambapo anatarajiwa kuomba ushawishi wa papa kwa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya vita nchini Ukraine.
View attachment 2620630
Putin lazima mwisho wake utakuwa mbaya sana. Hakuna kiongozi dikteta na muuaji aliyemaliza utawala wake kwa amani.Lile uaji putin muda wake unahesabika
Huo mi uwongo. Nchi nyingine zinaisaidia Ukraine silaha, mafunzo na fedha, haziisaidii Ukraine kwenye battlefield. Ni kama sisi tulivyosaidiwa baadhi ya silaha na Cuba wakati wa vita dhidi ya Id Amin.Kamuaibishaje wakati anasaidiwa na USA na ulaya yote,Putin anapigana na nchi 50
Putin ni mwamba kwa wauaji.Kamasi gani limemtoka mwamba Putin
Bora huyu kaenda kwa Papa kuliko Yesu aliyekimbilia polisi kukwepa Ijumaa kuu KenyaRais wa Ukraine Volodomir Zelensky amekwenda Italy ambapo atakutana na waziri mkuu wa Italia kwa mazungumzo na hatimaye kuitimisha ziara yake kwa kuonana na Papa Francis jijini Vatican ambapo anatarajiwa kuomba ushawishi wa papa kwa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya vita nchini Ukraine.
View attachment 2620630
Vp Ukraine (Zele)naye anapigana na nchi ngapi? Uwe mkweli lakini.Kamuaibishaje wakati anasaidiwa na USA na ulaya yote,Putin anapigana na nchi 50