Rais wa chagaland?!!

Rais wa chagaland?!!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wadau naomba anayejua anijuze kama ni kweli paliwahi kuwepo Rais wa wachaga. Je ni kweli pia chagaland walikuwa na sarafu yao? Habari hizi nimesimuliwa na mzee mmoja hapa Nachingwea nikiwa katika utafiti wa kilimo cha karanga na historia ya reli ya kati. ahsante!
 
Wewe hujafika hata kidato cha pili..kama umefika basi elimu yetu imekufa kifo kibaya sana
 
ninachojua ni kwamba wachaga walishawahi kuwa na utawala wao, bunge ambalo jengo lake lipo mjin moshi,

Ngoja nikimaliza hii movie nitakupa udambu wotee.
 
Wachagga historia inaonyesha waliwahi kuwa na utawala wao kabisa chini ya kiongozi wao mkuu chief Marialle kutoka Marangu akiwa mkuu wa machifu wote wa Wakibosho Yaani mangi mandara
Mangi wa wamachame Mangi Mwitori.

Huku shabaha ya mariale ikiwa ni kuuwaunganisha machiefu wote wa Tanzania wakati huo.

Moshi waliwahi kutumia nembo ya Chui aliyejilaza chini ya Mlima kilimanjaro
.mlima ukiitambulisha moshi huku pembeni ya mnyama chui ukiwepo mgomba
Kama chakula cha asili cha wachagga.
Wengine watakuja kujazia

HIVI KWANINI IKIKARIBIA CHRISTMAS LAZIMA MLICHOKONOE KABILA HILI???

Copy kwa Cc: [MENTION=223949]munabefu Mangi Mangimeli okaoni Mungi Preta babu Asprini MT KILIMANJARO BADILI TABIA Mentor Mnama na kwa wachaga wote waishio JF.
 
Last edited by a moderator:
Yeah ni kweli wachagga wameshakuwa na dola yao kamili la kujitegemea kabla ya uhuru wa Tanganyika na hata ukoloni history inaeleza wazi jamaa hawajaibukia juzi na wa muda mrefu sana kwenye maendeleo.

Ukibahatika kutembelea Moshi interior utastaajabu sana na utajua tu wachagga waliendelea tokea muda mrefu. Kuna nyumbani kwa mzee fulani Marangu niliingia mgombani huko nikakuta ndani kwake ana frames za ukutani
Zenye pictures na painting za mapapa wa kikatoliki kuanzia wa miaka ya 1800 amezitandaza kuanzia kwenye veranda ya nyumbani kwake mpaka ndani na anasema hizo pictures amemkuta nazo babu yake pamoja na vitu vingine.

Jiulize wakati huo maeneo mengine walikua wapi?
 
je waijua hii?
 

Attachments

  • 1450757369588.jpg
    1450757369588.jpg
    10.5 KB · Views: 162
na hii je?
 

Attachments

  • 1450757426786.jpg
    1450757426786.jpg
    9.4 KB · Views: 203
Yeah ni kweli wachagga wameshakuwa na dola yao kamili la kujitegemea kabla ya uhuru wa Tanganyika na hata ukoloni history inaeleza wazi jamaa hawajaibukia juzi na wa muda mrefu sana kwenye maendeleo.

Ukibahatika kutembelea Moshi interior utastaajabu sana na utajua tu wachagga waliendelea tokea muda mrefu. Kuna nyumbani kwa mzee fulani Marangu niliingia mgombani huko nikakuta ndani kwake ana frames za ukutani
Zenye pictures na painting za mapapa wa kikatoliki kuanzia wa miaka ya 1800 amezitandaza kuanzia kwenye veranda ya nyumbani kwake mpaka ndani na anasema hizo pictures amemkuta nazo babu yake pamoja na vitu vingine.

Jiulize wakati huo maeneo mengine walikua wapi?
sipingi maendeleo ya sehemu yeyote...

ila kutumia picha kama kigezo cha eneo husika kuwa liliendelea unakua hututendei haki wanajukwaa kabisa...hebu jaribu kuongezeaongezea nyama basi hiyo hoja yako...

Kilwa,Tabora,Zanzibar,Bagamoyo wasemaje basi?....
maana huko kuna vitu vya kale zaidi..Kilwa na Tabora washakua na hadi sarafu kabisa...

Na kumbuka kuwa hao walioleta hicho kinaitwa 'civilization' hawakuja na ndege wakatua moja kwa moja mainland....wengi walikuja na majahazi wakafikia pwani..wakaishi miaka mingi hapo..wakasogea bara..kwahiyo kwa vyovyote vile samani za kale zenye umri mrefu zitapatikana zaidi pwani kuliko bara...
 
Back
Top Bottom