Rais wa Congo, F. Tshisekedi, tumia mbinu za ujasusi za Netanyahu kupambana na ugaidi utafanikiwa

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
111
Reaction score
223
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada inakuja baada ya waasi wa M23 kuteka mji wa kalembe ambao ni muhimu kwao, unatoa nafasi kwao kufikia majimbo mengine kirahisi hasa yenye utajiri wa madini, kama tshobo, kivu kusini, na maniema.

Alichofanya netanyahu wakati ana anza kupambana na hamas uko gaza alikata Huduma zote muhimu za kijamii, hata Congo wakitaka kukomboa maeneo yao waanze na mbinu hiyo

Mbinu ya pili ni kuwa eliminate viongozi wa makundi ya kigaidi kuanzia katibu adi mkuu wao, wasipambane sana na wale wana mgambo wa dili na familia za viongozi wa makundi ayo ta kigaidi.

Na yote hayo yanaitaj ujasusi wa hali ya juu kuyakamilisha kwa kupandikiza mamluki watoa taarifa kwenye kundi ilo la M 23.

By mkulima wa kahawa Missenyi mkoani Kagera.
 
Vita sio rahisi hivyo saivi netanyau angekua anakula mtori tele aviv bila kelele kama za mbu kwa kukamilisha zoezi hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…