Rais wa DRC tayari kwa mazungumzo na M23

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576



Equation x jibu hili hapa. Si kila kitu kinawekwa wazi, lakini upungufu wa kasi wa M23, kuna ahadi ambayo mpaka sasa haijatekelezwa. Na ukweli kama hatageuza kibao, mpaka sasa yupo tayari kukaa meza moja na M23.


Na ikumbukwe: M23 mwanzoni ilikuwa inatetea haki za Congoman waongeao kinyarwanda, baada ya kujiuunga na AFC, na kuwa AFC/M23, ikawa kwamba nchini inaongozwa ndivyo sivyo, hivyo wanahitaji mabadiliko nchi nzima.

Mwaka huu M23 inawaweka wengi uchi wa mnyama.
 
Una wekq mezani mpunga wa kuwa kamata washikaji alafu kesho unataka mazungumzo

Inafikirisha
Kuongoza nchi kwa mfumo wa Afisa mtendaji wa Kata, mwisho ni kama huu. Uongozi unahitaji akili,ujasili na kujitoa mhanga. Uongozi wa kurithishana, huku kila mmoja anataka madaraka, kwenye nchi kama ile yenye watu wana pesa zao si za mawazo, mwishoe ni kama haya, mtu hudhalilikaa.

Hapa subiri mziki mwingine sasa, vigezo vya M23 kufikia kukaa meza moja ndo utajua alishajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kwa hili, bora angejieendea kwao na asirudi Afrika
 
Safi sana hakuna kitu kama Dialogue, tunaomba AMANI irejee kwa majirani zetu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
 
Safi sana hakuna kitu kama Dialogue, tunaomba AMANI irejee kwa majirani zetu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Hata wakiendelea kugoma, itapatikana kwa mtutu wa bunduki tu. Ila ukiona hivo, jua mmoja ameshakubali kuzidiwa.

Sema tu rais ndo msaliti wa kwanza. Misiraha yote ile aliipeleka kule kwa lengo lipi? Na sasa ipo mikononi mwa jama wanaojua kuitumia na kuongezea mingine.
 
M23 well wisher. Binafsi nawaona wabinafsi.
 
Ilikua suala la muda tu.. huwezi tunisha misuli mbele ya mabeberu. Happ Tanzania ndio tulifanikiwa kuziacha nchi nyingi za Africa. Sisiemu wanatawala kwa akili kubwa sana kuhakikisha wakubwa hawachukizwi,
 
Ilikua suala la muda tu.. huwezi tunisha misuli mbele ya mabeberu. Happ Tanzania ndio tulifanikiwa kuziacha nchi nyingi za Africa. Sisiemu wanatawala kwa akili kubwa sana kuhakikisha wakubwa hawachukizwi,
Suala la muda kufanya nini mkuu?

-Kumbuka,habari tunazopeana hapa, ni chache tu, na zile ambazo tunakuwa na uhakika.
Kinachoiondoa SAMIDRC ni nini?
M23 unadhani imepark tu? Bado kazi inaendelea tena kwa kasi
 
Suala la muda kufanya nini mkuu?

-Kumbuka,habari tunazopeana hapa, ni chache tu, na zile ambazo tunakuwa na uhakika.
Kinachoiondoa SAMIDRC ni nini?
M23 unadhani imepark tu? Bado kazi inaendelea tena kwa kasi
Kagame aliwaambia waondoe majeshi yao wakamkazia. Ndio hapo nasema ilikua suala la muda tu kutii ombi la Kagame.
 
Kagame aliwaambia waondoe majeshi yao wakamkazia. Ndio hapo nasema ilikua suala la muda tu kutii ombi la Kagame.
Binafsi kuna wakati nawaza. Uongozi ni uongozi tu, lakini kuna maswala mengine si ya kuingia kichwa kichwa. Rais wa South Africa Alisema jeshi lake litaondoka tu nchini DRC, amani itakapopatikana.
M23, haitakii mwanajeshi yeyote wa SADC ardhini kwao, tofauti na wa MONUSCO.
MONUSCO na yenyewe, sasa hivi hairuhusiwi kufanya kazi kama zamani, inapangiwa movement na M23. Kwanza nje ya mji na maeneo yenye machimbo, hairuhusiwi kutia mguu.

Mwanajeshi kudeal nae labda uwe mwenzie. Sasa, hawa wooooote, ni civilians tu. Watamueleza nini!!!!
 
Safi sana hakuna kitu kama Dialogue, tunaomba AMANI irejee kwa majirani zetu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
It looks wazalendo hawako happy. Au ndio wataitwa magaidi maana wanajua one of condition is new new new
 
It looks wazalendo hawako happy. Au ndio wataitwa magaidi maana wanajua one of condition is new new new
Hivi, hata kama ni wewe, japo wao hawana mkataba wa kazi na serikali yao: Generals wanahukumiwa kifo, ambao ndo wangekuwa viongozi.
Mbali na mishahara kiduchu, hata vitendea kazi hakuna,
Sasa watu wanalazimika kukubali kuuliwa na adversary wao,anaeonekana kuwazidi mbinu na motisha.

Hili kundi kwa nini lisivunjike moyo?
Pia, wenzao walipo huko kwenye kambi za M23, viatu vipya, ngu mpya, msosi wa maana na wa kutosha, ahadi ya mshahara wa kueleweka, lazima na wenyewe wapambanie kwenda huko ambako maisha ni mazuri. Uzalendo huja mtu akishashiba bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…