Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Nyie wanunuzi wa magoli kesho mnaenda kukinajisi kiwanja mbele ya hadhira ya mashabiki wenu!..Duru za habari za michezo zimeripoti kuwa baada ya ufunguzi pamoja na mechi kati timu yenye hadhi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano mbalimbali hapa Duniani Simba sports club Vs Al ahly.
baada ya ufunguzi patakua na mazungumzo kati ya mtukufu Rais wa FIFA Gianni Infantino,mtukufu Rais wa CAF Patrice Motsepe pamoja na mtukufu Rais wa heshma wa Simba Mohamed Ghulam Dewji"Kanji"
mtazamo ya wadau wanaona jicho la Simba limeona kuna fursa kubwa zaidi kwenye hii michuano,hasa wakizingatia ujio wa Rais wa FIFA mtukufu Rais comredi Infantino ni nafasi ya kumtumia kuipa Simba sports club fursa nyingi na kubwa pamoja na mikataba mikubwa ya mabilioni kutoka kampuni kubwa za michezo Duniani kote.
mungu ibariki Simba na Namungo tu.
malalamiko yako sio ya msingi yatapuuzwa.Nyie wanunuzi wa magoli kesho mnaenda kukinajisi kiwanja mbele ya hadhira ya mashabiki wenu!..
Ongeza na Ihefu FCMungu ibariki Simba na Namungo tu
usiwe na haraka,wakishaongea ndio utajua nini kimezungumzwa.Ulipoanza kwa mbwembwe, nilijua una full info na unajua kabisa WANAENDA KUONGEA NINIβ¦!!!
nisha edit asante sana.Ongeza na Ihefu FC
Peleka kwny sanduku la moni...Nyie wanunuzi wa magoli kesho mnaenda kukinajisi kiwanja mbele ya hadhira ya mashabiki wenu!..
Tulie wewe pisi mbovu...πPeleka kwny sanduku la moni...
π€£π€£Infantino anataka kumshauri Mo Dewji amrudishe Onyango
Hakufurahi kabisa Onyango kuuzwa[emoji1787]
Tatu awepo kwenye hayo maongeziDuru za habari za michezo zimeripoti kuwa baada ya ufunguzi pamoja na mechi kati timu yenye hadhi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano mbalimbali hapa Duniani Simba sports club Vs Al ahly.
Baada ya ufunguzi patakua na mazungumzo kati ya Rais wa FIFA Gianni Infantino, Rais wa CAF Patrice Motsepe pamoja na Rais wa heshma wa Simba Mohamed Ghulam Dewji.
Mtazamo ya wadau wanaona jicho la Simba limeona kuna fursa kubwa zaidi kwenye hii michuano,hasa wakizingatia ujio wa Rais wa FIFA comredi Infantino ni nafasi ya kumtumia kuipa Simba SC fursa nyingi na kubwa pamoja na mikataba mikubwa ya mabilioni kutoka kampuni kubwa za michezo Duniani kote.
Mungu ibariki Simba na Ihefu tu.
Mkuu all the bestHizi nyuzi zinaumiza sana
Haya omolo mutu ya kitambi kikubwa...Tulie wewe pisi mbovu...π
Nakufata pm tumalizane hii sijapenda...πHaya omolo mutu ya kitambi kikubwa...
π π π πNakufata pm tumalizane hii sijapenda...π
We chekelea tu nakuja huko...π π π π