Tetesi: Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh.john joseph pombe magufuli bima ya taifa (nic) inatapeli wananchi

Tetesi: Rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania mh.john joseph pombe magufuli bima ya taifa (nic) inatapeli wananchi

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Bila kupoteza muda mh rais shirika la bima la taifa linatapeli wananchi kwa makusudi

Soma mfano huu!

Wanakuja wanakuambia weka bima ya elimu na hata wanadiriki kusema Kama unataka kufunga ndoa miaka mitano ijayo weka hela zako bima ya taifa

kwakuamini hili ni shirika la serikali unaweka hela zako ukiamini kabisa kwakuwa ni shirika la serikali basi wana credibility ya kuaminika

Miaka inaenda ukifika ule mwaka ambapo bima yako imeiva na mipango yako iko kwenye pipe line ya utekelezaji imewadia unawapa taarifa miezi kadhaa kabla ya bima yako kuiva cha kuudhi sasa mpk muda unafika bima imeiva na lengo lako ulilojiwekea eidha ni Ada au harusi limewadia ukiwafwata wakupe hela yako saundi zinaanza kalumekenge kakataa kwenda shule alfulela ulela esopooooo

Mh rais hili shirika ni maudhi kwa watanzania na tunadiriki kusema linatutapeli haiwezekani niwaambie na wanajua kwamba miaka mitano ijayo bima yangu inaiva na watoto wanatakiwa kwenda Shule au naolewa mwaka 2019 mwezi Fulani halafu wao wafifishe ndoto zangu

Mh rais tumbua hili shirika ni matapeli wanaitia aibu serikali yako imagine ndoto zetu za January zimeuliwa na haya matapeli ya serikali!!!
 
Jifunze kwanza kuandika jina na hadhi ya u Rais . Shule za kata [emoji12][emoji38][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Bila kupoteza muda mh rais shirika la bima la taifa linatapeli wananchi kwa makusudi

Soma mfano huu!

Wanakuja wanakuambia weka bima ya elimu na hata wanadiriki kusema Kama unataka kufunga ndoa miaka mitano ijayo weka hela zako bima ya taifa

kwakuamini hili ni shirika la serikali unaweka hela zako ukiamini kabisa kwakuwa ni shirika la serikali basi wana credibility ya kuaminika

Miaka inaenda ukifika ule mwaka ambapo bima yako imeiva na mipango yako iko kwenye pipe line ya utekelezaji imewadia unawapa taarifa miezi kadhaa kabla ya bima yako kuiva cha kuudhi sasa mpk muda unafika bima imeiva na lengo lako ulilojiwekea eidha ni Ada au harusi limewadia ukiwafwata wakupe hela yako saundi zinaanza kalumekenge kakataa kwenda shule alfulela ulela esopooooo

Mh rais hili shirika ni maudhi kwa watanzania na tunadiriki kusema linatutapeli haiwezekani niwaambie na wanajua kwamba miaka mitano ijayo bima yangu inaiva na watoto wanatakiwa kwenda Shule au naolewa mwaka 2019 mwezi Fulani halafu wao wafifishe ndoto zangu

Mh rais tumbua hili shirika ni matapeli wanaitia aibu serikali yako imagine ndoto zetu za January zimeuliwa na haya matapeli ya serikali!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jifunze kwanza kuandika jina na hadhi ya u Rais . Shule za kata
emoji12.png
emoji38.png
emoji23.png
emoji1787.png
emoji1787.png


Sent using Jamii Forums mobile app
Huna haja ya kupoteza muda na mashirika ya hovyo...si private yapo....ni soko huria hao unawaacha tu! Easy!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wana hela yangu je nisidai?
 
Wakati huo huo dhuluma anayoifanya yeye kwa Wafanyakazi nchini miaka minne bila nyongeza ya mshahara, dhuluma kwa wakulima ya korosho zaidi ya 250 billions na wizi wa 1.5 trillions pesa za walipa kodi hauoni!

Bila kupoteza muda mh rais shirika la bima la taifa linatapeli wananchi kwa makusudi

Soma mfano huu!

Wanakuja wanakuambia weka bima ya elimu na hata wanadiriki kusema Kama unataka kufunga ndoa miaka mitano ijayo weka hela zako bima ya taifa

kwakuamini hili ni shirika la serikali unaweka hela zako ukiamini kabisa kwakuwa ni shirika la serikali basi wana credibility ya kuaminika

Miaka inaenda ukifika ule mwaka ambapo bima yako imeiva na mipango yako iko kwenye pipe line ya utekelezaji imewadia unawapa taarifa miezi kadhaa kabla ya bima yako kuiva cha kuudhi sasa mpk muda unafika bima imeiva na lengo lako ulilojiwekea eidha ni Ada au harusi limewadia ukiwafwata wakupe hela yako saundi zinaanza kalumekenge kakataa kwenda shule alfulela ulela esopooooo

Mh rais hili shirika ni maudhi kwa watanzania na tunadiriki kusema linatutapeli haiwezekani niwaambie na wanajua kwamba miaka mitano ijayo bima yangu inaiva na watoto wanatakiwa kwenda Shule au naolewa mwaka 2019 mwezi Fulani halafu wao wafifishe ndoto zangu

Mh rais tumbua hili shirika ni matapeli wanaitia aibu serikali yako imagine ndoto zetu za January zimeuliwa na haya matapeli ya serikali!!!
 
Hivi mods mnaachiaje uzi ulioandikwa hovyo kama huu..kuna shida sana na utakuta huyu ni mhitimu wa elimu ya juu.
 
Hakuna anayeweza kukutunzia pesa yako bila kufanyia mambo yake. Kama ukishindwa kutunza pesa yako mwenyewe ndo basi tena.....
 
Hivi mods mnaachiaje uzi ulioandikwa hovyo kama huu..kuna shida sana na utakuta huyu ni mhitimu wa elimu ya juu.
Hivi wewe mpumbavu umelazimishwa kukoment nyuzi za hovyo? Anzisha uzi wako usio WA hovyo akoment mama yako mzazi!!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hakuna anayeweza kukutunzia pesa yako bila kufanyia mambo yake. Kama ukishindwa kutunza pesa yako mwenyewe ndo basi tena.....
Nakubali mkuu ila tujifunze kutokana na makosa hawa wahuni wakija anga zenu wafukuzeni Kama mbwa coco
 
Back
Top Bottom