Propaganda from masjid ubwabwa.Jana Alhamdulillah hawa wauwaji wa watoto wa Gaza jana maiti zao zimepelekwa Tel Aviv.
View: https://x.com/tibou33969029/status/1742883740110430392?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Na kwa Hamas wenyewe mahesabu yakoje...!!Jana unajuwa wamekiri wangapi mazayuni? Wakikwambia kafa mooja ongeza x 10 kwa uchache.
Hamas wao mashaheed, unajuwa maana ya shaheed?Na kwa Hamas wenyewe mahesabu yakoje...!!
Wao wakifa 10 wanazidisha mara ngapi?Hamas wao mashaheed, unajuwa maana ya shaheed?
Hamas waliwapa mazayuni zawadi baada ya siku 100 za.mapigano kupita.
Badala ya kudunguwa vifaru vyao kimoja kimoja hapo Ghaza. Wakasambaratisha kiwanda chake ndani ya Tel Aviv ๐๐พ
View attachment 2875777
Kwa hiyo Hamas wao ni malaika, which means they've immunity against death. ๐ฎ๐ฎWatoto na wanawake na wagonjwa mahospitali, zidisha wewe hapo.