Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule


KGB Ilishakufa Tangu 1991 Saizi Kuna FSB
 
Chama cha umoja cha akina pole pole , Bashiru na Majaliwa kitashika Dola hapo 2025!!maandalizi yanafanywa vema na the state!!Hakuna atakaekubali Mama ashike dola tena!!
Endeleeni kujiongopea, mama tunaye mpaka 2030.Majaliwa hajawahi kuwa mtu makini
 
Wenye akili yasomeni haya yajayo yanafurahisha
 
Wenye akili yasomeni haya yajayo ni magumu zaidi...
 
He he he 😯😯😯😯

Tz ni among the best intelligence agency in the World.

Sikatai ktk hili.
 
1, 2,3... Mumekwisha wema wanaishi wabaya hawaishi.... Mumevamia mizinga wa nyuki pori ktk ya msitu... Mutalia sana
 
Ee Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA, ni Kweli Ili Nuru ije lazima tupite katika Giza Totoro.

Afadhali tahadhari hiyo ingewekwa na vyombo vya USALAMA pekee, bt Si Hilo pekee, Mungu wa Mbinguni naye aneliweka Taifa letu kwenye tahadhari na ADHABU, tutakaofanikiwa kupita upande wa pili salama, tutashuhudia Kwa vizazi vijavyo nini kilitokea.

2023 ni maandalizi ya ADHABU, 2024 ni mwanzo wa ADHABU Kwa Nchi ,Dunia na waovu, 2025 ni mwanzo wa mwisho wa ADHABU,

Nuru itaanza kuonekana 2026 lakini, Miaka Saba tangu 2023-2030 ni timeframe ya kujiliwa Ulimwengu Tanzania ikiwa ndilo lango.

Akida msimamizi wa chakula anaendelea kusisitiza hatojishughulisha kusimamia chakula Ili njaa ya miaka 3.5 ,nusu ya miaka 7 itimie kama ilivyotabiriwa.

Ama Kweli, kuondoka Kwa Magu na Giza kuchukua nafasi kutaipa Dunia kujua kwanini Magu alirudia mara nyingi sana kutuasa KUMTEGEMEA Mungu.

Avumiliaye Hadi mwisho ndiye atakayeokoka.

Aamen.
 
Watu wengi wangeusoma huu Uzi wangeziponya nafsi zao ila kwa sasa ni mwendo wa kutenga makapi na ngano! Wote wameingia. Na mlango unafungwa hatoki mtu. Hata wale waliodhani wamepona same wamo ndani...
 
Watu wengi wangeusoma huu Uzi wangeziponya nafsi zao ila kwa sasa ni mwendo wa kutenga makapi na ngano! Wote wameingia. Na mlango unafungwa hatoki mtu. Hata wale waliodhani wamepona same wamo ndani...
Tuelezeeee who is next, tupeee tupeeee.
Wee ndo wa kuaminiwa JF nzima.
 
Tuelezeeee who is next, tupeee tupeeee.
Wee ndo wa kuaminiwa JF nzima.
Next ni yule alie Dhani JPM kufa ndio kufaana... Hao kwa hakika hawatauwona ufalme wa Tz. Naona wapo watu wanaona kama kesho kufika muujiza. Ila kila mwenye masikio alisikie neno hili la Utabiri yakuwa kila atakae kuiponya nafsi yake asirudi nyuma kuchukua kile amesahau maana kila walipo Tai patakuwa na mzoga na kila mzoga utasababishwa na kurudi nyuma. Tuseme nn basi sis tulio watoto na wanyonge wa Taifa hili ila 🀐🀐🀐😭😭😭🀐🀐🀐 Nakuisubiri siku ile ambayo wale wasio na macho hawakuiona jambo limekuwa Giza na mateso makubwa juu yao na mioyo yao wanatamani kutubu hawawezi tena wanatamani kuyameza maneno yalikwisha watoka hawawezi kuyameza maana yalikwisha watoka... πŸ€πŸ€πŸ‘πŸ˜­πŸ˜­πŸ“œπŸ“œ
 
Watu wengi wangeusoma huu Uzi wangeziponya nafsi zao ila kwa sasa ni mwendo wa kutenga makapi na ngano! Wote wameingia. Na mlango unafungwa hatoki mtu. Hata wale waliodhani wamepona same wamo ndani...
Hatimaye Chama cha Watu Wema kimefikiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…