Rais wa Nchi ya Senegal ampongeza Pape Sakho

Yanga iliimbiwa wimbo na le Grande pepe kalè wa empire Bakuba ambaye wakati huo alikuwa mkubwa kuliko huyo raisi wa Senegal kwa sasa
Kwann utesekeee?? Kwann uumie??
Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzikaaa.

Usijichoshee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
 
Kwann utesekeee?? Kwann uumie??
Kunywa maji mengi ya uvugu vugu, afu pumzikaaa.

Usijichoshee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
Hamna ishu nyie,,mambo ya kawaida sana hayo..Raisi kapongeza raia wake au sijui wenzetu mlitaka awapongeze raia wa Botswana?😂😂
 
Hamna ishu nyie,,mambo ya kawaida sana hayo..Raisi kapongeza raia wake au sijui wenzetu mlitaka awapongeze raia wa Botswana?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri Bangala atapongezwa na rais wa Bacongo. Km yuko buzzy na vita hata cm hashiki hiyo haituhusuuu.


Poleeeeeeeh, byuti byuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…