Rais wa Poland amvaa Bi. Ursula baada ya kuingilia matokeo ya Uchaguzi wa Waziri Mkuu wa Italia

Rais wa Poland amvaa Bi. Ursula baada ya kuingilia matokeo ya Uchaguzi wa Waziri Mkuu wa Italia

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Rais wa Poland kamkaripia vikali na kumchamba kinagaubaga Rais wa kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU) Bi Ursula juu ya kiburi, dharau, na kejeli zake kwa misingi ya demokrasia kufuatia kutoa komenti ya kipumbavu wiki iliyopita kukosoa matokeo ya uchaguzi wa kidemokrasia uliofanywa na taifa la Italy kumpata Waziri mkuu wa sasa wa nchi hiyo.

Bi Urusula alisema anadaiwa kusema kuwa "Mtu asiye faa ndio ameshinda (Uwaziri Mkuu Italy)! Wamechagua kimakosa! Hiyo nchi (Italy) na serikali yake zahitajika kuwekwa mfukoni kwa nguvu!

Waziri Mkuu wa Poland ameonya kwa kusema: "Ndugu zangu, hivi hii ndio aina ya Ulaya tunayoitaka? Hivi hii ndio demokrasia? Huu ndio Utawala wa sheria?! Kwamba viongozi wa kiimla wa Brussels ndio waamue namna serikali iwe? Kwani ni nani mwenye haki ya kuchagua serikali za nchi za Ulaya? Nchi za Ulaya husika, au Watawala wa Brussels na Berlin (ndio waamue serikali za nchi nyingine za Ulaya)? HUO SI UTAWALA WA SHERIA!
===

SmartSelect_20220927-114422_Samsung Internet.jpg

Screenshot_20220927-114546_Samsung Internet.jpg

Screenshot_20220927-114720_Samsung Internet.jpg

Screenshot_20220927-114801_Samsung Internet.jpg
 
Rais wa Poland kamkaripia vikali na kumchamba kinagaubaga Rais wa kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU) Bi Ursula juu ya kiburi, dharau, na kejeli zake kwa misingi ya demokrasia kufuatia kutoa komenti ya kipumbavu wiki iliyopita kukosoa matokeo ya uchaguzi wa kidemokrasia uliofanywa na taifa la Italy kumpata Waziri mkuu wa sasa wa nchi hiyo. Bi Urusula alisema anadaiwa kusema kuwa "Mtu asiye faa ndio ameshinda (Uwaziri Mkuu Italy)! Wamechagua kimakosa! Hiyo nchi (Italy) na serikali yake zahitajika kuwekwa mfukoni kwa nguvu!

Waziri Mkuu wa Poland ameonya kwa kusema: "Ndugu zangu, hivi hii ndio aina ya Ulaya tunayoitaka? Hivi hii ndio demokrasia? Huu ndio Utawala wa sheria?! Kwamba viongozi wa kiimla wa Brussels ndio waamue namna serikali iwe? Kwani ni nani mwenye haki ya kuchagua serikali za nchi za Ulaya? Nchi za Ulaya husika, au Watawala wa Brussels na Berlin (ndio waamue serikali za nchi nyingine za Ulaya)? HUO SI UTAWALA WA SHERIA!
===

View attachment 2369499
View attachment 2369501
View attachment 2369502
View attachment 2369503
Wewe ni mvuta bangi wa kimboka tuuuu
 
EU inakwenda kufa ni suala la muda
Ajabu leo naona Nord Stream 1 na 2 zote zimetobolewa huku mamla ya nchi moja moja kama Sweden na Denmark ata Germany wakisema kuna figisu zimefanywa maana kuna mlipuko ulitokea siku ya jumatatu unaokadiliwa kuwa na uzito wa kg 100 maeneo hayo ambayo leaked imetokea! Huku wengi wakiituhumu Marekan kwa kuwataka wajiingize kwenye migogoro yake zaidi wazidi kumtegemea yeye
 
Back
Top Bottom