Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji amekutana na Bodi ya Ushauri na kufanya kikao cha pamoja

Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji amekutana na Bodi ya Ushauri na kufanya kikao cha pamoja

HONEST HATIBU

Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
63
Reaction score
153
Rais wa Simba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji amekutana na Bodi ya Ushauri na kufanya kikao cha pamoja. #WenyeNchi #NguvuMoja
1720294320496.jpg
1720294313952.jpg
1720294310649.jpg
 
Sasa inakuaje mtendaji mkuu wa klabu ambaye ndiye katibu wa vikao akae mbali hivyo na mwenyekiti wa kikao? Picha hii inaonesha tatizo kubwa la kiuongozi ndani ya simba. Its like a one man show
 
Sasa inakuaje mtendaji mkuu wa klabu ambaye ndiye katibu wa vikao akae mbali hivyo na mwenyekiti wa kikao? Picha hii inaonesha tatizo kubwa la kiuongozi ndani ya simba. Its like a one man show
Duu boss ushawahi walau kuhudhuria kikao cha bodi au kamati ya wachawi wa Kijiji kweli? Kwenye vikao vya namna hiyo CEO anakuwa ni secretary tuu wa kupokea action points za kufanyia kazi pamoja na kuandika report. Kama hujui ulizaga
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Back
Top Bottom