Rais wa TAHLISO atengua uteuzi wa Naibu Kamishna wa Kamisheni ya Mikopo na Ufadhili

Rais wa TAHLISO atengua uteuzi wa Naibu Kamishna wa Kamisheni ya Mikopo na Ufadhili

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Snapinsta.app_460066084_1756758198477621_2886099590156674528_n_1080.jpg


TAARIFA KWA UMMA
18 Septemba 2024
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania, Mhe. Zaynab Iddy Kitima ametengua uteuzi wa Ndg. Ibrahim Shukran Aloyce, Naibu Kamishna wa Kamisheni ya Mikopo na Ufadhili.

UFAFANUZI WA RAIS WA TAHLISO
Alipoulizwa na JamiiForums.com kuhusu maamuzi hayo kama yana uhusiano na malalamiko ya Wadau yaliyotolewa juu ya mchakato wa utoaji mikopo hasa kwa Wanafunzi waliokata rufaaa za mikopo, Zaynab Iddy Kitima amesema:

“Hizo taarifa za malalamiko mimi ndio nazisikia leo, kuna masuala ya kinidhamu kwa mamlaka niliyonayo ninapoona kuna jambo linaashiria uvunjivu wa amani au uhamamsishaji wa mambo ambayo ni nje ya Katiba ya ketu sipaswi kuyafumbia macho.”

Pia Soma:
~
HESLB yafafanua madai ya Wanafunzi UDSM kutakiwa kuwa na Kadi ya CCM ili wapate mkopo
~ Wanafunzi UDSM tuliokosa mikopo 2023 na waliopata mikopo kidogo tunaambiwa lazima tuwe na Kadi ya CCM ndio tutahudumiwa
 
View attachment 3099537

TAARIFA KWA UMMA
18 Septemba 2024
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania, Mhe. Zaynab Iddy Kitima ametengua uteuzi wa Ndg. Ibrahim Shukran Aloyce, Naibu Kamishna wa Kamisheni ya Mikopo na Ufadhili.


Pia Soma:
~ HESLB yafafanua madai ya Wanafunzi UDSM kutakiwa kuwa na Kadi ya CCM ili wapate mkopo
~ Wanafunzi UDSM tuliokosa mikopo 2023 na waliopata mikopo kidogo tunaambiwa lazima tuwe na Kadi ya CCM ndio tutahudumiwa
Kisa na Mikasa utenguaji?
 
Huyo anajizima data tu.
Kwani hadi HESLB walitoaga ufafaanuzi juu ya hii kero endelevu ya wanafunzi wa UDSM inamaana yeye hakuona malalamiko hayo tangu mwezi July/August?
Mbona kuna uhalisiaaa na tunaumia sisi lakini linapokuja suala kama hili badala mfuatiliee kwa kina bali mnatoa jibu la kujilindaa tu...
Mdomo wangu usiniponzee lakini.....
 
Back
Top Bottom