Uchaguzi 2020 Rais wa Tanzania 2020 piga ua awe na sifa moja kubwa kusimamia katiba maana miimili yote imeipa mgogo

Kizinga mpemba

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
218
Reaction score
194
Rais wa Tanzania 2020 piga ua awe na sifa moja kubwa kusimamia katiba maana miimili yote imeipa mgogo. Ms ajili, Serekali, Polisi, bunge, mahakama na mtu mpaka Sasa anayefiti Tundu Lissu, ndiye mtetezi mkuu wa katiba na Kwa Nini tusimpigie kampeni Sasa, awe Rais 2020. Hata Kwa miaka mitano kwanza. Viva lisu, Viva lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…