Leo Bon yai kakwama kufikishwa mahakamani kisa
Jeshi la magereza halina gari ya kumfikisha mahakamani
Kwa Nini zile fedha zinazotolewa kwa timu ya Simba na yanga zisitumike kununua magari kwa jeshi la magereza?
Na je tarehe 24,25 Bado magereza hawatokuwa na gari mpaka tarehe 26?
Hizi ngiriba za jeshi la magereza na polisi pamoja na ikulu mwisho wake ni upi?