Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where is administrative capital for Tanzania??????Tanzania ni Moja chini ya muungano. Kwanini Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania lazima akae bara hata kama ni mzanzibar? Hawezi kukaa Zanzibar na kuiongoza nchi?
Na wanao apishiwaga Kizimkazi imekaaje?Makao makuu ya serikali yapo wapi mkuu?😁
No time to read the whole thing; sema ni sura gani na ibara gani na mstari upi hadi upi. Na kwanini iwe hivyo wakati Zanzibar ni nchi sawa na tanganyika?Wakati wenzio wanasoma na kusikiliza somo la uraia (civics) darasani we kazi yako ilikuwa kusugua punje za ubuyu chini na kuunguza wenzio.
Haya pitia hapa katiba ya nchi upunguze ujinga, wahead kabisa.
Kaka ile haikuwa Ikulu ya Tanzania, ilikuwa Ikulu ya Tanganyika kwaajili ya Tanganyika na mambo yake kama vile ilivyo Ikulu ya zanzibar ilivyokuwa kwaajili ya Zanzibar na mambo yake.Where is administrative capital for Tanzania??????
Endapo kama Ikulu ya Tanzania itakuwa Zanzibar basi Rais wa nchi naye atalazimika kukaa Zanzibar.
Z'zibar hakuna Ikulu kaka? Mbona ile ya Dar ilitumika kwa miaka yooote hiyo bila shida?Where is administrative capital for Tanzania??????
Endapo kama Ikulu ya Tanzania itakuwa Zanzibar basi Rais wa nchi naye atalazimika kukaa Zanzibar.
Je, unaelewa maana ya 'administrative capital for Tanzania?? Ikulu iliyopo Zanzibar ni kwa ajili ya Zanzibar, na wala siyo kwa ajili ya Makao Makuu ya Nchi ya Tanzania.Z'zibar hakuna Ikulu kaka? Mbona ile ya Dar ilitumika kwa miaka yooote hiyo bila shida?
Hata Chato waliwahi kuapishwa ila sio makao makuu.Na wanao apishiwaga Kizimkazi imekaaje?