Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mimi kwetu ni Tanga, nimezaliwa Ocean Road pale Ilala lakini babaangu ni mdigo wa Mwakidila ila ameniachia nyumba pale Mabawa, nina ndugu Chumbageni, Commercial, Mikanjuni, usagara na Duga.
Tanga hakuna uwanja mzuri wa kuushinda uwanja wa Chamazi, kusema ngao ya jamii unaipeleka Tanga kwa kigezo kipi?
Tanga kuna nini maana washabiki wenyewe Tanga hawana msisimko tena na mpira tangu African Sports na Coastal zikose mvuto.
Mechi ya Simba na Yanga ikachezwe Tanga wakati mechi ya fainali Yanga vs Azam tumeshuhudia mashabiki wachache uwanjani, uwanja umekosa kabisa msisimko.
Kwanini Karia aaachwe awe anajifanyia tu anavyotaka, umefanya tathmini gani hasa upeleke gemu hiyo Tanga, hata kama unadai Tanga japo siamini kwa sura yako navyoiona lkn Tanga hakuna mvuto kupeleka mechi za hisani.
Vilabu hivi vikae na TFF vikubaliane na sio TFF kuburuza buruza tu.
Tanga hakuna uwanja mzuri wa kuushinda uwanja wa Chamazi, kusema ngao ya jamii unaipeleka Tanga kwa kigezo kipi?
Tanga kuna nini maana washabiki wenyewe Tanga hawana msisimko tena na mpira tangu African Sports na Coastal zikose mvuto.
Mechi ya Simba na Yanga ikachezwe Tanga wakati mechi ya fainali Yanga vs Azam tumeshuhudia mashabiki wachache uwanjani, uwanja umekosa kabisa msisimko.
Kwanini Karia aaachwe awe anajifanyia tu anavyotaka, umefanya tathmini gani hasa upeleke gemu hiyo Tanga, hata kama unadai Tanga japo siamini kwa sura yako navyoiona lkn Tanga hakuna mvuto kupeleka mechi za hisani.
Vilabu hivi vikae na TFF vikubaliane na sio TFF kuburuza buruza tu.