Kumbe sa jamaa mbona kiswahili chake anaunga unga sana
Huyu rais wa TFF Wallace karia ni kwamba ndo anajifunza kuzungumza kiswahili ama, maana jinsi anavyotamka maneno kama mtoto anayeanza kujifunza kuongea
Acha ubaguzi.....kwani utadaji kazi wake ni mbaya? Ndomaana tutabaki nyuma siku zote matope kila jambo duh