Rais wa TFF, Wallace Karia akosoa kelele na propaganda zinazochafua Soka la Tanzania, "leta ushahidi TFF, nje na hapo sivutiwi"

Rais wa TFF, Wallace Karia akosoa kelele na propaganda zinazochafua Soka la Tanzania, "leta ushahidi TFF, nje na hapo sivutiwi"

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Nani kalikoroga huko, Rais hapendezwi kabisa!

==

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, leo Disemba 7,2024, katika mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kwamba yeyote anayeona udhamini wa ligi kuu una dosari, apeleke ushahidi TFF. Alikosoa kelele na propaganda zinazochafua soka la Tanzania na kusema kuwa ligi bado haijafikia kiwango cha Financial Fairplay.

"Kama kuna Mtu anahisi kuna udhamini wenye dosari basi alete ushahidi TFF, nje na hapo sivutiwi na kelele pamoja na propaganda zinazoenezwa ambazo zinachafua soka letu, wengine wanasema kuhusu Financial Fairplay sisi bado hatujafikia huko"
IMG_1325.jpeg


Pia, Soma:

+ Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

+ Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu
 
Mbumbumbu watakuja na mapanga
Ngoja watoke huko Kijijini Constantine kucheza rede huko shirikisho
 
Kwa lugha nyingine anachosema ni kuwa hadi hapo tutakapokuwa na financial fairplay, tukae kwa kutulia huku tukiendelea kupata bingwa wa mchongo.
🤣😭🤣
Huonagi aibu kidume kuwa mtu wa lawama
 
Wakuu

Nani kalikoroga huko, Rais hapendezwi kabisa!

==

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, leo Disemba 7,2024, katika mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kwamba yeyote anayeona udhamini wa ligi kuu una dosari, apeleke ushahidi TFF. Alikosoa kelele na propaganda zinazochafua soka la Tanzania na kusema kuwa ligi bado haijafikia kiwango cha Financial Fairplay.

"Kama kuna Mtu anahisi kuna udhamini wenye dosari basi alete ushahidi TFF, nje na hapo sivutiwi na kelele pamoja na propaganda zinazoenezwa ambazo zinachafua soka letu, wengine wanasema kuhusu Financial Fairplay sisi bado hatujafikia huko"
View attachment 3171284

Pia, Soma:

+ Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

+ Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu
Mimi naomba TFF ihakikishe timu za madaraja ya chini zinapata fedha mfano daraja la kwanza kwa sababu nahisi katika historia ya TFF, zama hizi ndizo TFF inapata fedha nyingi.

Juzi kati Biashara UTD ilikwama pesa ya usafiri kwenda Mbeya kucheza mechi za Championship.
 
Kesi ya nyani unampelekea ngedere
Sasa si mwende fifa kama mnaona tff akuna haki? Mnabwata kwenye jambo ambalo ata amjui Sheria na kanuni yake imekaaje mmebaki kupiga porojo tu za kwenye vijiwe vya kahawa!
 
Kasahau kuwaambia wapeleke na ushahidi wa wachezaji wa yanga kujidunga sindano.
 
Wakuu

Nani kalikoroga huko, Rais hapendezwi kabisa!

==

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, leo Disemba 7,2024, katika mkutano Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania kwamba yeyote anayeona udhamini wa ligi kuu una dosari, apeleke ushahidi TFF. Alikosoa kelele na propaganda zinazochafua soka la Tanzania na kusema kuwa ligi bado haijafikia kiwango cha Financial Fairplay.

"Kama kuna Mtu anahisi kuna udhamini wenye dosari basi alete ushahidi TFF, nje na hapo sivutiwi na kelele pamoja na propaganda zinazoenezwa ambazo zinachafua soka letu, wengine wanasema kuhusu Financial Fairplay sisi bado hatujafikia huko"
View attachment 3171284

Pia, Soma:

+ Wallace Karia ndio Rais wa TFF mwenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania

+ Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu
Shida kubwa ya TFF ni kutumiwa na ccm kisiasa, haya ya udhamini wala siyo shida yetu
 
Back
Top Bottom