GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani nikiona Rais wa TFF Wallace Karia na Kamati ya Maadili TFF mmemsamehe Mhamasishaji wa Yanga SC Haji Manara baada ya Yeye leo Kuwaombeni Radhi nitawadharau na Kuwachukia Milele.
Rais wa TFF Wallace Karia nadhani unatambua jinsi Haji Manara alivyokuwa akikukashifu na kuihusisha TFF na Usimba hadi Kuwadhalilisha Watendaji wako hapo Karume Ilala.
Rais wa TFF Wallace Karia kuna Mmoja wa Watendaji wako hapo TFF ( Mnazi wa Yanga SC ) baada ya Kujua kuwa Haji Manara anaenda kupata Adhabu Kubwa alimfuata Haji Manara na Kumlazimisha aje Kukuona ili Kukuomba Radhi Kinafiki ili uwaombe Wajumbe wa Kamati ya Maadili wasimfungie.
Tafadhali Kamati ya Maadili TFF kamwe msiuamini huo Msamaha wa Haji Manara kwani ni wa Kinafiki tupu na anewawahi Kuwaomba Radhi ili hata Mkimfungia apate Huruma ya Wafuasi wake wengi Wapumbavu kuwa mmemuonea kwani aliwaombeni Msamaha.
Haji Manara ni Jeuri, Kiburi, Mshamba na ana Dharau zisizovumilika hivyo tupieni mbali huo Msamaha wake na mpeni Hukumu ya kuwa Fundisho wa Wapuuzi wengine wa Mfano wake.
Rais wa TFF Wallace Karia nadhani unatambua jinsi Haji Manara alivyokuwa akikukashifu na kuihusisha TFF na Usimba hadi Kuwadhalilisha Watendaji wako hapo Karume Ilala.
Rais wa TFF Wallace Karia kuna Mmoja wa Watendaji wako hapo TFF ( Mnazi wa Yanga SC ) baada ya Kujua kuwa Haji Manara anaenda kupata Adhabu Kubwa alimfuata Haji Manara na Kumlazimisha aje Kukuona ili Kukuomba Radhi Kinafiki ili uwaombe Wajumbe wa Kamati ya Maadili wasimfungie.
Tafadhali Kamati ya Maadili TFF kamwe msiuamini huo Msamaha wa Haji Manara kwani ni wa Kinafiki tupu na anewawahi Kuwaomba Radhi ili hata Mkimfungia apate Huruma ya Wafuasi wake wengi Wapumbavu kuwa mmemuonea kwani aliwaombeni Msamaha.
Haji Manara ni Jeuri, Kiburi, Mshamba na ana Dharau zisizovumilika hivyo tupieni mbali huo Msamaha wake na mpeni Hukumu ya kuwa Fundisho wa Wapuuzi wengine wa Mfano wake.