Rais wa TLS, Harold Sungusia ataka mjadala wa Kitaifa kujadili mkwamo wa Katiba Mpya

Rais wa TLS, Harold Sungusia ataka mjadala wa Kitaifa kujadili mkwamo wa Katiba Mpya

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho unaofanyika leo, Alhamisi Agosti 01.2024, jijini Dodoma, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Wakili Harold Sungusia amesema

Katika eneo la utoaji wa elimu kwa umma TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) tumeweza kufanya makongamano kuhusu Katiba katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbeya na Dar es Salaam, lengo la makongamano hayo lilikuwa ni kwa namna gani tunaweza kushirikishana uelewa wa pamoja wa namna ya kuliendea suala la Katiba mpya ambapo miongoni mwa mambo tuliyojifunza katika kipindi cha muda huo mfupi yalihusu katika maswali yetu matatu ambayo ni:-

(i) Tulikwama wapi katika kupata Katiba mpya?,

(ii) Tuanzie wapi katika kupata Katiba mpya ya nchini?, na

(iii) Tufanye nini ili tusikwame tena tutakapoanza tena mchakato wa kupata Katiba mpya?"


Maswali haya matatu (3) tunaamini ni magumu na hivyo yanahitaji mjadala wa kitaifa na tunaamini wananchi wanayo majawabu ya maswali hayo.

Pia soma
 
Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho unaofanyika leo, Alhamisi Agosti 01.2024, jijini Dodoma, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Wakili Harold Sungusia amesema

Katika eneo la utoaji wa elimu kwa umma TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) tumeweza kufanya makongamano kuhusu Katiba katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbeya na Dar es Salaam, lengo la makongamano hayo lilikuwa ni kwa namna gani tunaweza kushirikishana uelewa wa pamoja wa namna ya kuliendea suala la Katiba mpya ambapo miongoni mwa mambo tuliyojifunza katika kipindi cha muda huo mfupi yalihusu katika maswali yetu matatu ambayo ni:-

(i) Tulikwama wapi katika kupata Katiba mpya?,

(ii) Tuanzie wapi katika kupata Katiba mpya ya nchini?, na

(iii) Tufanye nini ili tusikwame tena tutakapoanza tena mchakato wa kupata Katiba mpya?"


Maswali haya matatu (3) tunaamini ni magumu na hivyo yanahitaji mjadala wa kitaifa na tunaamini wananchi wanayo majawabu ya maswali hayo.

Pia soma
Achana na Sungusia, kibaraka wa serikali, achana naye
 
Akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka wa chama hicho unaofanyika leo, Alhamisi Agosti 01.2024, jijini Dodoma, Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Wakili Harold Sungusia amesema

Katika eneo la utoaji wa elimu kwa umma TLS (Chama cha Mawakili Tanganyika) tumeweza kufanya makongamano kuhusu Katiba katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dodoma, Mbeya na Dar es Salaam, lengo la makongamano hayo lilikuwa ni kwa namna gani tunaweza kushirikishana uelewa wa pamoja wa namna ya kuliendea suala la Katiba mpya ambapo miongoni mwa mambo tuliyojifunza katika kipindi cha muda huo mfupi yalihusu katika maswali yetu matatu ambayo ni:-

(i) Tulikwama wapi katika kupata Katiba mpya?,

(ii) Tuanzie wapi katika kupata Katiba mpya ya nchini?, na

(iii) Tufanye nini ili tusikwame tena tutakapoanza tena mchakato wa kupata Katiba mpya?"


Maswali haya matatu (3) tunaamini ni magumu na hivyo yanahitaji mjadala wa kitaifa na tunaamini wananchi wanayo majawabu ya maswali hayo.

Pia soma
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed.

Martin Luther King Jr.

Katiba Mpya iliyo nzuri imeshindwa kupatikana nchini Tanzania ni kwa sababu Wananchi wenyewe hawajaamua kuidai kwa kuwa 'bado wamelala usingizi wa pono.'
Siku Wananchi kwa umoja wao watakapoamua kudai Katiba mpya waitakayo, Basi lazima itapatikana tu.
 
Back
Top Bottom